October 15, 2007

Yanga mambo si shwari tena...Hivi ni lini tutafika wakati ambao vilabu vyetu vitaondokana na migogoro hii na kuwaza kuendeleza soka? ni lini nasi tutuondokana na futiboli fitna hii inayoua soka nchini?
lakini ni nani hasa wanafaidika na hii migogoro isokwisha? Jamani naomba nisaidiwe kwa hili kwani la nitatiza hata kukatisha tamaa kwa mtu mwenye akili zake kuwa mmoja wa shabiki wa timu hizi. hivi uko majuu ufadhili ukoje? (kama kuna ufadhili), je tajiri kumiliki timu kukoje hasa maana naona kizunguzungu tu hapa. haaaah

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...