February 20, 2007

Nyumba no 87 Mtaa wa Sandali Temeke Mikoroshin Dar iko ktk mgogolo mkubwa wa umiliki kati ya watoto yatima wanne ambao ni wajukuu wa marehemeu mama Hidaya toka kwa wanae wawili wakike waliofariki na kumwachia kila mmoja watoto wawili aliyowaridhisha kwa maandishi, baada ya kufariki bibi huyo akatokea aliyejiita mjomba wa marehemu na watu wengine wakauza nyumba baada ya kukana kuwa marehemu akuacha watoto wala wajukuu hivyo kuuza nyumba na watoto kuwatupa nje kwa amri ya mahakama ya mwanzo Temeke trh 27/12/06.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...