February 20, 2007
Nyumba no 87 Mtaa wa Sandali Temeke Mikoroshin Dar iko ktk mgogolo mkubwa wa umiliki kati ya watoto yatima wanne ambao ni wajukuu wa marehemeu mama Hidaya toka kwa wanae wawili wakike waliofariki na kumwachia kila mmoja watoto wawili aliyowaridhisha kwa maandishi, baada ya kufariki bibi huyo akatokea aliyejiita mjomba wa marehemu na watu wengine wakauza nyumba baada ya kukana kuwa marehemu akuacha watoto wala wajukuu hivyo kuuza nyumba na watoto kuwatupa nje kwa amri ya mahakama ya mwanzo Temeke trh 27/12/06.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Safari kuelekea Kibaha kwa Mazishi hapo kesho inaanza. Msemaji wa Jeshi la Polisi Abdalah Msika akitoa heshima za mwisho Mjane Jane ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
No comments:
Post a Comment