Hongera Asah A. Mwambene (41) kwa kuteuliwa kushika wadhifa wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), hii ni nafasi kubwa na muhimu kwa taifa letu na zaidi katika tasnia ya habari.
Mh Rais Jakaya Kikwete ameakuamini sana hata kukuteua kuongoza idara hii nyeti katika kipindi zama hizi za taarifa ama Information Age ktk karne hii ya mawasiliano ya Sayansi na Teknologia, bila shaka unazo sifa na weledi kuongoza idara hii, japo ina changamoto nyingi, sote wanahabari twajua, tumia weledi, elimu, maarifa na zaidi busara katika si tu kuongoza bali pia kuibadili iendane na wakati tuliomo.
Hizi ni Zama za Taarifa na sote twajua "Information is Power", ushauri wangu ni mdogo sana, ifanye idara hii iendene na wakati, najua umesafiri sana nje ya nchi na kupata nafasi ya kujionea jinsi idara kama hizi katika nchi za wenzetu zinavyofanya kazi, kisasa zaidi, kitaaluma zaidi, na kiufanisi zaidi, zaidi ya yote kwa muda muafaka, kwani uzito wa habari ni muda.
Nafasi yako sasa ni ya kiutawala zaidi, si vibaya ukawa mwanafunzi wa gwiji wa mambo ya utawala, John Maxwell, ameandika na kuotoa vitabu na machapisho mengi sana juu ya LEADERSHIP, pata nakala kadhaa, sina shaka zitakufanya kuwa mtawala bora, kila la kheri katika wadhifa wako mpya.
Rwebangira Blog.
August 2, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Tarime — FELISTA Laurent (15) had not been admitted to hospital in her life, until November 4, this year, when she was attacked by his fath...
-
TRA YA NCHI JIRANI YAPONDA PONDA MAGARI YALOSHINDWA KUKOMBOLEWA BANDARINI, MAGARI YAPATAYO 200 KUPONDWA DESEMBA HII, JE HUKU NI KUWA NA AK...
-
There has been resurgence in the number of registered divorces in the country in the past two years after declining between 2005 and 2006. ...
-
Shirika la habari la Uholanzi Radio Netherlands Worldwide limeipa shavu picha hii na kushika nafasi ya tano katika shindano lake la hivi kar...
-
Habari wadau, Mnaweza shangaa leo kuja na uzi huu wa Saratani ya Utumbo mpana, kifupi mi si tatbibu na wala sina fani yoyote ya namna hi...
-
Kwa mujibu wa ripoti za Shirika la Afya Duniani vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, kitaalumu Noncommunicable Dise...
-
Jessica is recognized internationally as an inspirational keynote speaker. Born without arms, Jessica now flies airplanes, drives c...
-
But while the suspect was being attended to in one of the wards at Leratong Hospital in Krugersdorp, west of Johannesburg, the on-...

No comments:
Post a Comment