Hongera Asah A. Mwambene (41) kwa kuteuliwa kushika wadhifa wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), hii ni nafasi kubwa na muhimu kwa taifa letu na zaidi katika tasnia ya habari.
Mh Rais Jakaya Kikwete ameakuamini sana hata kukuteua kuongoza idara hii nyeti katika kipindi zama hizi za taarifa ama Information Age ktk karne hii ya mawasiliano ya Sayansi na Teknologia, bila shaka unazo sifa na weledi kuongoza idara hii, japo ina changamoto nyingi, sote wanahabari twajua, tumia weledi, elimu, maarifa na zaidi busara katika si tu kuongoza bali pia kuibadili iendane na wakati tuliomo.
Hizi ni Zama za Taarifa na sote twajua "Information is Power", ushauri wangu ni mdogo sana, ifanye idara hii iendene na wakati, najua umesafiri sana nje ya nchi na kupata nafasi ya kujionea jinsi idara kama hizi katika nchi za wenzetu zinavyofanya kazi, kisasa zaidi, kitaaluma zaidi, na kiufanisi zaidi, zaidi ya yote kwa muda muafaka, kwani uzito wa habari ni muda.
Nafasi yako sasa ni ya kiutawala zaidi, si vibaya ukawa mwanafunzi wa gwiji wa mambo ya utawala, John Maxwell, ameandika na kuotoa vitabu na machapisho mengi sana juu ya LEADERSHIP, pata nakala kadhaa, sina shaka zitakufanya kuwa mtawala bora, kila la kheri katika wadhifa wako mpya.
Rwebangira Blog.
August 2, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Baada ya DCI na jeshi la polisi kwa ujumla kukiri kuwa vifaa walivyowekewa wabunge wa upinzani yaani Wilbrod Slaa na Dr Ali Tarib Ali kwam...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...

No comments:
Post a Comment