August 11, 2011

Kuuliza si ujinga jamani!!

Wahenga walisemaga "kuuliza si ujinga na aulizaye anataka kujua" kwa siku kadhaa nimekuwa naona tangazo hili magazeti, nimelisoma, nikajaribu kulielewa lakini sijafanikiwa, sijui labda wadau au Stanibic wenyewe mweweza nielewesha mimi na labda wenzangu ambao hawaelielewa kama mimi. 
Ukweli ni kuwa najua ama nasikiaga serikali imepewa mkopo, msaada nk, lakini sikumbuki kuona tangazo lolote, labda ndo zama za uwazi na ukweli au utandawazi ndo unavyotaka!! sijui. 

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...