February 5, 2010

Muvi bado yaendelea

Muvi iloanza ka mzaha vile sasa yazidi kuchukua sura mpya kila uchao na kuingiza watu na taasisi nyingine zaidi na nyeti ikiwamo Jeshi letu JWTZ baada ya jana Jery kuonesha kwa stakabadhi ya pingu alonunua duka la jeshi la Mzinga.
Fuatilia hapa kwa undani zaidi pamoja na kauli ya Mtoto wa Mkulima.

1 comment:

Anonymous said...

Nampa pole bro. jerry,

Sijui sakata ni visa vya kuzushiana au la. Nijualo ni kwamba Jerry Muro anajitahidi sana kuripoti uvundo na kwa nchi yetu kubambikiziana kesi ni kawaida hasa kama inaonekana unasema ukweli.

Pole sana Bro. Jerry Utayapita haya magumu.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...