July 16, 2009

Mwai Emilio Kibaki atua Bongo

Rais wa Kenya Mwai Kibaki ametua leo Bongo kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo anatarajiwa pamoja na mambo mebgine kuwa na mazungumzo na mwenyeji wake JK huko Ikulu na kusaini makubaliano ya ushirikiano kadhaa kabla ya kuelekea Zenji kukutana na Rais wa hukoA. Karume.
Kibaki aliyeongozana na baadhi ya mawaziri wake wapatao saba hivi pamoja na wabunge kadhaa pia anatarajiwa kutembelea kiwanda cha mafuta cha Bidco leo hii na kesho kufungua rasmi jengo jipya ubalozi wa Nchi pale kona ya kuelekea Masaki ujulikanao kama Harambee Plaza.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...