February 19, 2009

Jukwaa lakubali yaishe..

JUKWAA la Wahariri Co Limited limetangaza kumfungulia Waziri wa Habari, Michezo na Utamaduni George Mkuchika baada ya kugoma kuandika habari zake kwa takribani miezi minne sasa.

“Tayari gazeti liko mitaani, tunatangaza kumfungulia Mkuchuka. Lakini pia tunalaani kitendo cha kutumia sheria mbovu kuvifungia vyombo vya habari,” alisema mwenyekiti wa jukwaa hilo Sakina Datoo. Hata hivyo jukwaa hilo lilikishambulia kituo cha televisheni cha ITV kuwa kilifikia hatua ya kurusha habari za waziri huyo hasa baada ya Mkuchika mwenyewe kuzungumzia habari zinamlinda mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...