February 28, 2009

Hasheem aendelea kutesa USA.

Kijana Hasheem Thabit anaendelea kufanya vyema huko majuu, fuatilia mahojiano yake zaidi hapa>>>>

1 comment:

Mzee wa Changamoto said...

Heshima kwako Kaka.
Kijana anafanya vema. Anajitahidi sana na naamini na kuomba kuwa hatabadilika maana anaanza kuitambulisha nchi. Nafasi aliyonayo kwa timu yenye namba a juu kabisa katika vyuo hapa inamuweka kwenye spotlight. Akiwa mwema ataifanya nchi ianze kutambulika kwa mema. Japo si mwakilishi wa nchi lakini vyombo vya habari vitamchukulia hivyo atake asitake. Kwa hiyo natambua anatambua nafasi yake kwa jamii yetu
Kila la kheri H.T

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...