Taarifa zilizotufikia ni kuwa kumetokea ajari mbaya eneo la Lusaunga, Biharamulo iliyohusisha Basi la Taqwa toka Dar es Salaam na Lori la mizigo, kulinga na shuhuda wa ajari hiyo mbaya anasema wameona miili ipatayo 30 ikiwa imezagaa eneo la tukio, yahofiwa kuwa wengi wamekufa katika ajari hiyo.
Majeruhi kadhaa wamefikishwa hospitali ya Biharamulo kwa matibabu na wengi wameumia sana. Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kadiri tutakapozipata, toka eneo la tukio na hospitalini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Huwa nina kawaida au tabia ya kusoma kila kilichombele yangu kilichoandikwa, sijui kama kawaida/tabia hii ni mzuri au la kila mtu aweza sem...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...
1 comment:
Hii connotation huwa inanishangaza sana,how come some1 says breakin newzz...Ktk habari kama hii,kinda celebrating?Grr rr..Ingetosha kuwa breaking news au just in/ news alert.Wajifunze namna ya kuwasilisha habari za kuhuzunisha na zileza burudani.
Post a Comment