February 15, 2008
KIWEWE cha Richmondssssss
JINA LA RICHMOND SASA LIMEKUWA BALAA BAADA YA WATU KUTAKA KUVAMVAMIA MGENI MMOJA ALIYEKUWA ANAENDESHA GARI LA RICHMOND TOURS.
SASA WAMILIKI WA MAJENGO WALIOYAITA JINA HILO WANALAZIMIKA KUNG'OA JINA KWENYE MAJENGO YAO YA KIFAHALI AMBAPO YASEMEKANA MTOTO WA MMOJA WA VIONGOZI WAANDAMIZI WALILAZIMISHWA KUJIUZULU ANAISHI KTK MOJA YA APARTMENTS HIZI ZA BEI MBAYA JIJINI.
Kituuuuuuuz
MAMBO YA SIGMA
Photographers mpoooo
Sigma is introducing the world's first ultra-telephoto zoom to deliver an f/2.8 aperture at a focal length of 500mm.
Announced in Las Vegas during PMA's annual trade show, the APO 200-500mm offers users the same fast aperture throughout its zoom range, and with an extra dedicated attachment, extends the focal range up to 1000mm. This extra 400-1000mm length is offered at f/5.6.
cheki bei yake.
The lens, with Sigma, Canon and Nikon mounts, weighs 15.7kg, and is available for £16,000.
hii ni kwa wapiga snap wanaomaanisha tu.
VERSE OF THE DAY
“This is love: not that we loved God, but that he loved us and sent his Son as an atoning sacrifice for our sins.”- 1 John 4:10
BWANA YESU ASIFIWE.
Naomba msaada wapendwa...
Hii email nimetumiwa na huyu anayejiita mdada wa codivwaa ati ana mifweza ka fisadi na hajui afanyie nini, na anataka tushilikiane eti asilimia 15% ya mifweza yake atanipa mimi!!! mhh jameni kweli hiyo? mwasemaje nichangamkie tenda hii? alafu eti ni kabinti ka miaka 23
msaada jamani nilambe bingo hii au vipi?
FROM MISS KAMALA JONTAABIDJAN COTE D IVOIRE
Dearest Beloved ,
Based on your profile i am happy to request for your assistance and also to go into business partnership with you, i believe that you will not betrayed my trust which i am going to lay on you.
I am Miss KAMALA JONTA ,23years old and the only daughter of my late parents MR. and MRS JONTA. My father was a highly reputable business magnet-(a cocoa merchant)who operated in the capital of Ivory coast during his days. It is sad to say that he passed away mysteriously in one of his business trips abroad in europe year 12th.Febuary 2004.Though his sudden death was linked or rather suspected to have been masterminded by an uncle of his who travelled with him at that time.
But God knows the truth! My mother died when I was just 5 years old, and since then my father took me so special. Before his death on February 12th 2004 he called the secretary who accompanied him to the hospital and told him that he has the sum of Twelve Million five hundreds thousand United State Dollars.(USD$12 500 000) left in a security company in a metallic trunk box, but the security company didn't know the contents because it was registered as family valuables items for security reasons.
I am just 23 years old and a university undergraduate and really don't know what to do. This is because I have suffered a lot of set backs as a result of incessant political crisis here in Ivory coast. The death of my father actually brought sorrow to my life. Sir, I am in a sincere desire of your humble assistance in this regards. Your suggestions and ideas will be highly regarded.
For you to assist me in this transaction i will offer you %15 percent of the totall sum. please if you have any question to ask me about this transaction do not delay to contact me on my above email address. i await your urgent response as soon as possible.
Thanks and best regards.
Miss KAMALA JONTA.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...