June 6, 2009
Kadhaa wajeruhiwa ulipuaji mabumo Mbagala leo.
Makumi ya watu wamejaruhiwa wengine kupoteza fahamu wakati wa awamu nyingine ya ulipuaji Mabomu ktk kambi ya Mbagala jijini Leo.
Nani anamajibu kwa Padri Karugendo??
NIMEAMUA kuuliza maswali haya, maana ni lazima atokee mtu wa kuyauliza. Haiwezekani tukasubiri miti na mawe kuuliza maswali haya. Kila Mtanzania aliyesoma, kila Mtanzania anayeguswa na uhai wa taifa letu, ni lazima ayaulize maswali haya.
Nauliza: Tumewaona mawaziri wa serikali ya awamu ya nne wakipiga kampeni kule Busanda. Walifanya hivyo kwa vile wao ni wanachama wa CCM au kwa vile wao ni watumishi wa umma? Kama walikwenda kama wanachama wa CCM, je walikuwa kwenye likizo? Tunaweza kuhakikishiwa bila mashaka yoyote kwamba walikuwa kwenye likizo?
Nauliza: Busanda walijiandikisha wapiga kura zaidi ya 100,000 lakini waliopiga kura ni 55,000 hawa wengine zaidi ya 50,000 wamepotelea wapi? Kwa nini hawakupiga kura? Hii ni idadi kubwa sana. Haiwezaekani kwamba hawakupiga kura kwa sababu ya ugonjwa- vinginevyo tungetangaziwa kwenye radio ugonjwa huo ulioikumba Busanda.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...