November 26, 2008
NENO LA LEO
My brethren, count it all joy when you fall into various trials, knowing that the testing of your faith produces patience. But let patience have its perfect work, that you may be perfect and complete, lacking nothing.
James 1: 2-4
AfDB YAMWAGA Bn 192.9
Yesuuuuuuu nyife siamini walai!!!!!!!
"Hii sirikali ya awamu ya nne ni chiboko yaani hata miye nalala selo hati kwa kukosa tubilioni tunne tu??? walai siamini, hebu kachukue lile VX langu pale kwa Hoseah kijana".
kwa kweli siami macho yangu au naota vile?
MAWAZIRI wawili wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, wamelala rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana baada ya kushitakiwa kwa kosa la kuisababishia hasara serikali ya Sh bilioni 11.7. Washitakiwa hao ambao walipandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana saa 5:35 asubuhi, walishindwa kutimiza sharti la kila mmoja kuweka Sh bilioni 3.9 mahakamani. Walikana mashitaka yao 13. Wote wanatuhumiwa kutumia vibaya madaraka yao ya uwaziri hivyo kuipendelea Kampuni ya Alex Stewart (Assayers) ya Uingereza kwa kuipa misamaha ya kodi.
http://www.dailynews.habarileo-tsn.com/
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Dr H Mwakyembe akishushwa toka ktk ndege ya kukodi na kupelekwa moja kwa moja MOI kwa Matibabu zaidi, Dr Mwakyembe alipata ajali ya gari m...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...