Picha kwa hisani ya Fransis Godwin.
July 11, 2010
Mgombea Mwenza wa JK Ni Dr Gharibu Bilali
Rais JK amemteua aliyekuwa mgombea wa urais Zanzibar na Waziri Kiongozi mstaafu Dr Gharibu Bilali kuwa mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM na hivyo kuwa makamu wa rais mara baada ya uchaguzi mwezi Oktoba.
Je historia nyingine kuwekwa na CCM leo?
Baada ya CCM kumteua Dr Ali Mohamed Shein kuwa mgombea urais kwa upande wa Zanzibar na pengine kukaribia kuweka historia mpya kwa Visiwa hivyo kutawaliwa na mtu toka Pemba, kitendawili kingine na PENGINE historia mpya uenda ikawekwa muda si mrefu pale atakapotangazwa mgombea mwenza wa Rais Jakaya Kikwete.
Inabashiriwa na wachambuzi wa mambo na siasa za Bongo pamoja na mwelekeo na utawala wa JK kuwa uenda kwa mara ya kwanza akamteua mwanamke kuwa Mgombea mwenza na hivyo kupelekea kuwa na Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke.
Je ikiwa hivyo ndivyo, ni nani basi mwanamama huyo??
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...