April 19, 2010
JK akutana na boss wa ICC, Luis Moreno-Ocampo
TAUSI BADO YUKO JUUUUU
Tausi Likokola lawezekana kuwa jina geni miongoni mwa watu lakini si geni kwa wengi wetu na hasa wanaofuatilia kwa karibu masuala ya mitindo na ulimwende hapa Bongo na Duniani kwa ujumla.
Tausi ni Mwanamitindo mzaliwa wa Tanzania ambaye amepiga hatua kubwa sana katika fani hii kimataifa kwa muda mrefu sana, pamoja na kuwa sasa ni mama wa watoto wawili lakini bado anapata mikataba na makampuni mbalimbali duniani kama vile Gucci, Christian Dior, Tommy Hilfger, Escada, NK.
waweza kumtembelea hapa au katika facebook ujionee zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...