April 13, 2008
Je lipo tumaini?
Pengine mwenge huu waweza leta tumaini kwa dada yetu huyu anayeishi kwa matumaini. kumbuka ni Tanzania pekee ktk Africa mwenge huu umekimbizwa lakini pia watu wanaoishi kwa matumaini hawakutengwa ktk kuukimbiza. ni jambo la faraja.
Mwenge DAR
MWENGE WA OLYMPIC NDANI YA DAR
Mduara kwa waheshimiwa paleee
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda na baadhi ya wabunge wanawake wakicheza muziki katika chakula cha jioni alichowaandalia wabunge hao kwenye makazi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma. Wapili kushoto ni Naibu Spika Anne Makinda ambaye pia ni Mbunge wa Njombe Kusini, Kulia ni Mbunge wa Kuteuliwa Zakia Meghji na wa pili kulia ni mbunge wa viti maalum, Anna Abdallah na watatu kushoto ni mgeni kutoka Jamaica , Ingrid Loiten.
chini hilo ni twist la nguvu.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...