"KUCHUKUA WATU WA CLINTON KWENYE SKWADI LAKO SINA SHIDA ILA NSIMWONE YULE KIMWANA MONICA LEWINSKY"
December 17, 2008
WAANDISHI WATUNUKIWA
Father Kidevu Mroki akipewa nishani
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jakaya Kikwete amewatunukia nishani waandishi 12 wa vyombo mbalimbali vya habari nchini, walioshiriki katika vita ya kumng’oa kiongozi muasi ndani ya visiwa vya Komoro, Kanali Mohamed Bakari. Akikabidhi nishani hizo, kwa niaba ya Rais kwenye viwanja vya Karimjee Dar es Salaam jana, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema taifa limethamini mchango wa wanahabari hao, waliokuwa wakiripoti katika mazingira magumu, dhidi ya vita hiyo. “kwa kutambua mchango wako, (mmoja mmoja) wa kuandika matukio kwenye uwanja wa mapambano, wa kukikomboa kisiwa cha Anjouan, yaliyofanyika bila kumwaga damu, kazi uliyoifanya katika mazingira magumu, mimi Rais nakutunukia nishani,” alitamka.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...