January 30, 2010

Muswada wa Usalama wa Taifa wapigwa chini tena.

BUNGE LEO KWA KAULI MOJA LIMEUPIGA CHINI MUSWADA WA UUNDAJI BARAZA LA USALAMA WA TAIFA ULIOWASILISHWA NA WAZIRI WA OFISI YA RAIS UTAWALA BORA NA KUULEJESHA SERIKALINI ILI UFANYIWE MAREKEBISHO KWA MARA YA PILI.
Wabunge wengi waliochangia wametoka kasoro nyingi ikiwemo ya kumnyanganya Rais madaraka kama Amiri Jeshi Mkuu ambapo ni kinyume na katiba na kukasimu madaraka hayo kwa baraza hili ambalo wachangiaji wengi wameliita ama kulifananisha na kongamano.

January 28, 2010

HII SASA HATARI

Hii sasa ni hatari sana wadau, hivi ni tamaa gani hii ya pesa hata hatuhurumiani? tumekuwa tukiwalaumu wachina kwa kila bidhaa feki lakini hebu tujiulize je sio sisi wabongo na hasa ndugu zetu wafanyabiashara ambao ndo wananunua bidhaa hizo ama pengine wanawashawishi wao wachina kutengeza mabidhaa feki na hatimaye kuziingiza sokoni?
Hii ni tamaa gani ya pesa hata ufikilii ndugu zako? je bidhaa hizo feki si ni ndugu zako ndo wanatumia? na je si ni hao pia ndo wanadhurika?
Hii inasikitisha saaana.

· Polisi wakamata za Shilingi milioni 60

· Za Arusha zaletwa Dar kwa hatua zaidi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata malori manne yakiwa yemesheheni taulo za usafi za wanawake feki (Always) zenye thamani ya Sh. milioni 60 zinazodaiwa kuingizwa kinyume cha sheria.

Malori hayo aina ya Fuso moja na Canter tatu, yalikamatwa juzi eneo la Jangwani, jijini Dar es Salaam yakiwa na shehena za bidhaa hizo ambazo zilikuwa katika makasha madogo 2,750

Dr Shein ziarani Kenya.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, wakiangalia uandaaji wa huduma mbalimbali za mauwa wakati walipotembelea katika kiwanda cha mapambo mjini Nairobi jana.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, wakiangalia huduma za utafiti wa mazao kwa kutumia teknologia ya kisasa walipotembelea katika kituo cha utafiti wa Kilimo Gigiri Nairobi Kenya jana.

Mac waja na ipad

KAZI KWENU WAPENDA KUJINAFASI.

January 25, 2010

Msaada kwa Mtoto Tuntufye.

Wadau Tumsaidie Mtoto Tuntufye..

MZAZI wa mtoto Tumtufye Mwakasaka (8) ambaye kwa sasa amekatisha shule kuja mkoani Iringa kutafuta wasamaria wema kwa ajili ya kunusuru maisha yake baada ya mwili wake kuvimba mithiri ya pipa wamemwomba Rais Jakaya Kikwete pamoja na wadau wote kusaidia kunusuru uhai wa mtoto huyo.
Mtoto huyo ambaye anahitaji msaada wa fedha zaidi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya kwenda nchini India kutibiwa kwa sasa anaishi katika eneo la Bwawani kihesa kilolo katika Manispaa ya Iringa huku akiendelea kutabika baada ya mwili wake kutokwa na malenge lenge sehemu za siri na maeneo mengine huku akiendelea kuvimba mwili kutokana na maradhi ya figo yanayomsumbua.
zaidi mtembelee Fransis Godwin

January 19, 2010

Mshidi wa fyatua choo huyu hapa

Kwa kipindi fulani hivi kilichopita kulikuwa na shindano hapa Bongo lililoitwa FYATUA CHOO USHINDE, leo ndio limefikia tamati kwa kupatikana mshindi Bi Fatuma Ally kutoka Dodoma ambapo alikabidhiwa zawadi na Waziri wa Afya Prof D avid Mwakyusa, Lengo la shindano hili ilikuwa kuamasisha umuhimu wa matumizi ya choo,
Sijui watani zangu kule Ukerewe wangeleta picha gani ya choo maana mambo ya wanamalizia ziwani hadi leo hii.

January 18, 2010

Lusekelo on Mtoto wa Mkulima "poverty" announcement

The national jaw has dropped on the utterances of the premier, Mizengo Peter Pinda. Eyebrows have soared to the stratosphere. Is he okay? I mean, how do you just dec
lare your personal poverty to the media and say you own peanuts? There ought to be a commission of enquiry about this. How can a prime minister of Tanzania be so poor?
Premier Pinda has said that he owns three shacks, which he calls houses, in Dodoma, Sumbawanga and a room on a shamba somewhere around Pugu. The Sumbawanga shack is somewhere called Makanyagio, definitely not in the posh area of the town.
Now Makanyagio area must have been an abattoir or a place they used to sell beef leftovers, like boiled hooves, heads, entrails (utumbo) and such. There are such places in most towns in Bongo.
So the premier called his property houses. Presumably he has not seen the castles which have been built in Mikocheni area and the likes in Tanzania’s urban centers. Tasteless godowns adorned with luminous lights here and there portrayed as residential houses.
You look at those godowns and you wonder - do those couples want to play lawn-tennis indoors? How do they communicate, by using the latest intercom technology?
But you understand the psychology. If you come from a hole in the ground for a home, you will want to revenge. Once you get fisadi money, you build your personal Ikulu so that the world sees that now you are made.
That mindset is at the sub-conscious of many a head. Big house, big car, big bank account, and probably big mama, as well. But you get surprises amidst the looting frenzy we live in. Former premier Judge Joseph Warioba is one surprise. He is relatively modest.
Premier Pinda comes in mind. He has about 25, 000 dollars in his account. Basi? The prime minister of the United Republic of Tanzania has only that? Is he serious? There must be a catch somewhere!
I mean, for example, there is this $40 million deal to bring tractors from India. Normally, the premier would have found this Tanzanian ‘businessman’ and there already have been two of them at each others’ throats to clinch the deal. The ‘businessman’ would have had the necessary ‘qualifications’ like being of Indian origin. Black Tanzanians can’t be businessmen, they cannot trade. Maybe selling the odd mango this season.
Then the premier would have given the deal to the Asian businessman, with homes in Switzerland, Bombay and..............................
see a side link.

MATAPELI NA MAAFA YA HAITI - WATCH OUT

WADAU HII NI EMAIL NIMEKUMBANA NAYO KTK INBOX YANGU, YAWEZEKANA WENGI MWATUMIWA KAMA HIZI, YAANI HAWA MATAPELI HAWACHOKI? BADO WADHANI WAWEZA KUIBIA WATU KWA MTINDO HUU KWELI?
Dear Friend,
I am Major Bruce Roberts of the United Nations Armed Forces here in Haiti, I am a very close friend and personal adviser to the Haiti President Mr. Rene Garcia Preval.
Following the Earthquake that struck Haiti, so many people where killed and that unfaithful day I was at the president's palace having some important discussions with him. When the Earthquake struck, the presidential palace was seriously damaged and we managed to get out of the place alive and unharmed and all telecommunications facilities where damaged due to the damages caused by the earthquake.
The president Mr. Rene Garcia immediately contacted me and asked me to assist him move out all his funds which he stored in his safe in his presidential palace.
The president Mr. Rene Garcia is a very corrupt government and he owns so many companies in Mexico and Jamaica, bank accounts all over Switzerland while his people suffer and die in poverty.
I immediately deployed some of my close military personnel to move all his funds out of the presidential palace to avoid the outside world (western world and other government authorities) from knowing that he has this huge amount of money in his custody. I and my fellow military personnel immediately went to the president palace and we recovered 4 big trunk boxes each containing $13.6Million (thirteen million six hundred dollars) each.
I personally kept one of the trunk box for myself (containing $13.6Million (thirteen million six hundred dollars) unknown to my military personnel and the other 3 boxes we immediately transported them out of Haiti through United Nations Delivery means to the president's business associate in Austria according to the president instruction. I informed the president that the other box has been damaged by fire in his palace and he beleived me and asked me to clean up the building so no one will know about this whole situation.
Now I have in my custody a total sum of $13.6Million (thirteen million six hundred dollars) which I want to transport out of Haiti to you in your country via very secured United Nations freight means. I will give you 30% from this total $13.6Million (thirteen million six hundred dollars) for your assistance, I will have 65% for myself, 5% we shall donate to the people of Haiti for humanitarian aids. Please keep this information highly confidential between us and respond back to me with your telephone number via my personal e-mail; brucerobertss@hotmail.co.uk so we can discuss better on how I will be transporting this box out of here to you. Thank you and bye for now.
Major Bruce Roberts.

January 13, 2010

WHY Prof Baregu denied UDSM contract renewal

THE government announced today that it won’t renew the contract for renowned political scientist and long-serving University of Dar es Salaam (UDSM) don, Prof Mwesiga Baregu, as the institution of higher learning insisted that they badly needed his services.
The Minister of State in the President's Office, Public Service Management, Ms Hawa Ghasia, told reporters in Dar es Salaam that the decision was reached following Prof Baregu’s decision to participate in politics, which is against the Chief Secretary’s (Head of Public Service) Circular No. 1 of 2000.
“The circular stipulates clearly the things that are forbidden for a public servant, which includes vying for any political post under a party’s constitution or becoming a leader in a political party,” she said.
Ms Ghasia added that contrary to the circular, Prof Baregu has been a member of the opposition CHADEMA’s National Executive Committee, earlier as a nominated member and now as a fully-elected one.

Stadium kubwa Afrika.

Soccer City Stadium zamani FNB Stadium, Uwanja mkubwa kabisa Afrika wenye uwezo wa kuchukua watazamaji wasiopungua 95,000 ulio karibu kabisa na Soweto na pia Afisi za TFF "ahh no" SAFA, yaani TFF ya huku, ndipo itafanyika mechi ya kwanza kabisa ya Kombe la Dunia barani Afrika kati ya wenyeji Afrika Kusini na Mexico. Umejengwa kwa Dola za Mamrekani Million 440.
Bongo mpo??

January 11, 2010

Taifa Stars mmejifunza nini kwa Mali??

Stars mmejifunza nini kwa Mali?

Matokeo ya mechi ya ufunguzi ya fainali ya Kombe la Afrika iliyoanza kutimua vumbi jana kwa wenyeji Angola kuchuana na Mali yaweza kuacha historia fulani kwa kipindi Fulani katika medani ya soka Afrika na dunia kwa muda Fulani.

Si tu kwa mbwembwe za ufunguzi ama serikali ya Togo kuamua kuitoa timu yao baada ya kuvamiwa na majambazi wakielekea mashindano na hatimaye watu watatu kuuwawa au uwezo wa mwenyeji kufunga magori mengi manne na kuongoza kwa kipindi kirefu ata kuwa na uhakika kuwa wameshinda gemu ama uwezo wa timu Mali kurudisha magori yooote manne kwa dakika takribani kumi na moja, si hayo tu.

Bali pengine nadhani ni moyo wa uvumilivu na kutokata tamaa kwa timu ya Mali, kuendelea kupambana na hatimaye kufunga magori mazuri na ya uhakika na kuwaacha wenyeji vinywa wazi, kwa hakika timu ya Mali ni nzuri na wachezaji wake wamejengwa vyema kisaikolojia kiasi cha kutokana tamaa mapema, sikuamini macho yangu kile kilichokuwa kinatokea jana.

Baada ya mechi ile nilijiuliza maswali mengi sana kuhusu timu yetu Taifa Stars, Je wachezaji wetu wangekuwa ndo timu ya Mali wangefanyaje? Pamoja ya kuwa goli ni goli lakini magori mawili ya Angola yalitokana na penati, kwa mtazamo mfupi wa kukata tamaa na kutafuta mchawi Mali wangeweza kusema kuwa mwenyeji kapendelewa na hivyo kuwa na sababu ya kushindwa, je si ndivyo timu yetu ingepata kisingizio na kwa kuwa wote tulikuwa tunaangalia na kuona ni kweli? Hapana shaka kuridhika na kufungwa pia?

Taifa stars inahitaji kujegwa sana kisaikolojia kwenye gemu labda kuliko kitu kingine chochote, kuwa hakuna kukata tamaa ata kama umefungwa goli ngapi na timu gani iwe Brazil au Ivory Coast. Mechi iliyopita na Ivory coast tulikuwa na uwezo wa kuwashangaza kwa kiasi kikubwa lakini nadhani wachezaji wetu pamoja na kusifiwa kufanya vizuri lakini hawakufanya vizuri sana, wengine walikuwa wakionekana kama watazamaji, wakiwaangalia kina Dogba au Cole, laity tungelikuwa na majaribio golini manne kama lile la Tegete tungewaacha vinywa wazi Tembo wa Ivory.

Ushauri wangu kwa kocha ni kuchukua mkanda wa mechi ya jana alinganishe na mechi yetu na Tembo na mechi zooote ambazo tumeshibdwa au hata kushinda pia na kuona ni nini Mali wamefanya ambacho hatuwezi kufanya.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...