October 22, 2008

Maisha Bora....

Mjane Agnes Jeremiah amekuwa akiishi kwa kutegemea kugonga kokoto huko Kunduchi tangu kufiwa na mumewe yapata miaka saba sasa, kwa siku nzuri uingiza kiasi cha Shs 1000 au chini ya US$ 1, kiasi hiki ndicho anachotegemea kulisha na kusaidia familia yake ya watoto wanne wa kwanza akiwa ndo kwanza amemaliza darasa la saba.

Lakini mama huyu hatoweza kufanya kazi hii ya kipato kidogo hivi kwa muda zaidi kutokana na kuwa serikali imewaamulu wote wanaoishi kwenye maeneo ya machimbo ya kokoto huko Kunduchi kuondoka mara moja na siku yoyote tingatinga litaingia kufanya kazi yake. Je ni wapi kina mama kama huyu wataelekea?

JONGWEEEEEEEE

Kwa Komredi Mugabe sasa kumekucha, maana watu woete ni Mabilionea, Noti ya Zim Dolla Million 500 ilotolewa karibuni yatosha kununua Lager tu au tumboga gengeni. Mhhh

TANGAZOOOOO

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...