January 31, 2009

Blog yafungwa!!!!!!!!!!!

"MASIHI SAUDI" au www.christforsaudi.blospot.com yafungwa kwa kuhubiri kweli

Habari hii inasikitisha sana, ya mtu kukamatwa, kufungiwa gazeti tando lako ambalo umekuwa ukilitumia kuwasiliana jamii, kufikisha ujumbe na kuelezea kile unadhani ni ukweli na kukabiliwa na kesi pengine kuadhibiwa kifo kwa kueleza hisia zako tu? Huyu bwana Hamoud Bin Saleh hatakuwa wa kwanza "KUIJUA KWELI" bali yawezekana kosa lake ni kutaka na wengine hasa nduguze wa Saudi waijue kweli hii pitia blog yake ya www.christforsaudi.blogspot.com ndilo limekuwa kosa. Wale tunaoperuzi vitabu vitakatifu kuna kimoja kinasema na nanukuu " NA WATAIJUA KWELI NA HIYO KWELI ITAWAWEKA HURU" swali je kweli ni ipi? Mwalimu Nyerere alipata kusema kuwa hakuna vita ya kijinga kabisa kama vita ya kidini, kwasababu dini ni imani ambayo kwanza hukuzaliwa nayo na waweza kubadili kadiri ama kuama moja kwenda ingine wakti wowote kadri uonavyo yafaa au ushawishi wake, lakini si kabila kwani kama we ni mgogo, mhaya, mhehe NK hata ufanyeje uwezi kubadili hilo. WANABLOG MWASEMAJE KUHUSU HATUA HII YA SERIKALI YA SAUDI?

JE DUNIA HII TULIONAYO YA SAYANSI NA TEKELINALOTUJIA SHERIA KANDAMIZI KAMA HIZI ZINA NAFASI GANI BADO KATIKA DUNIA KIJIJI YETU HII?

Masikini GTV!!!

Kwa wale wateja wa tv hii na hasa wapenzi wa soka habari hii si njema hata kidogo.

A company which broadcasts English Premier League football to tens of thousands of subscribers across Africa has gone into liquidation.

Gateway Broadcast Services supplied programmes under the GTV banner to countries from Kenya to Botswana.

As well as the premiership, GTV backed several domestic leagues, including Ghana, Tanzania and Uganda. The company blamed "the current financial and global crisis" for the move. This had "severely interrupted the company's abilities to secure further funding", it said in a statement.

Television services have been stopped - with subscribers receiving a short message telling them the channel is off the air. The company said it had invested $200 million in the business but that "the economic crisis...has caused excessive demands on the business."

Several African football federations and leagues will feel the effects of this sudden move.

source: bbc

IMEKAAJE HII WADAU?

Duka la vito pale J'burg linauza tanzanite ambayo yapatika Tanzania pekee, sijui kama twaitangaza vyema hichi kito cha thamani ulimwenguni kama chapatikana Bongo tu, nasema sijui kwa kuwa tunako hako kaugonjwa kaudhaifu na kutaka kila kitu wawekezaji wafanye kana kwamba liinchi hili la neema tele halina watu wake wakufiki na kufanza kwa manufaa yetu.

Hata hivyo huyu bwana katusaidia kidogo anasema "TANZANITE ONLY IN AFRICA" sasa hapa sijui kama katusaidia ama kajihelp mwenyewe maana nasikia zamani ilikuwape "S" kabla ya africa, lakini je hii yatosha?

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...