January 12, 2008
Wasomi TZ walaani kuiba kura Kenya..
Kwa kifupi hayo ndo yalojiri ktk maandamano ya leo yaliyoandaliwa na umoja wa vyuo vya elimu ya juu nchini (TAHLISO) kulaani yaliyojiri nchini kenya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Dr Rwaitama aliwakilisha na kutoa tamko la UDASA pamoja na hisia zake mwenyewe kama mwana panaafricanist,
ambapo tamko la TAHLISO lilitolewa na Katibu wake Mtatiro.
Hiki ni kizazi kipya au damu changa ambayo haiko tayari kukaa kimya kinapoisi kuwa kuna dhulma pahala fulani asa ktk Africa mashariki, tunao pia damu changa kabisa kama salome (6) ambaye naye hayuko nyuma.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.