August 26, 2009

Askofu Mkuu Anthony Mayala azikwa

Rais Jakaya Kikwete akiongozana na Mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwishom kwa mwili wa Marehemu Askofu Mkuu Anthony Mayalla wakati wa ibada ya mazishi huko Mwanza mapema leo.

JK apokea hati za utambulisho

Rais JK akipokea hati za utambulisho toka kwa Balozi mteule wa uholanzi nchini mheshimiwa Dr. Kuindert Adriaan Koekkoek.

Mafua ya ndege yapigwa jeki.

Katibu Mkuu wa Jumaiya ya Afrika mashariki Balozi Juma Mwapachu (kushoto) akipokea funguo na nyaraka za magari saba kutoka kwa Meneja kampuni ya CMC tawi la Arusha Suresh Nathwani (kulia) jana katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya AICC.Magari hayo yametolewa kama msaada na Umoja wa Ulaya (EU) kwa ajili ya mradi wa kuthibiti ugonjwa wa homa ya mafua ya ndege katika nchi wananchama wa jumuiya hiyo

Mtoto wa Mkulima na Zawadi ya Sarafu

Mtoto wa Mkulima Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kitazama sarafu ya Australia iliyotengenezwa maalumu kama pambo ambayo alikabibidhiwa na Waziri wa Afya wa Australia , Kim Desmond Hames baada ya mazungumzo ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar leo

Mazishi ya pamoja ya Wanafunzi 12 wa Sule ya Idodi katika picha

Waziri wa Elimu Prof Jumanne Maghembe akiweka shada maua. Mmoja wa wafiwa akisaidiwa mara baada ya kushuhudia mazishi ya mwanae Mbunge wa Isimani ambako ndiko iliko shule ya Idodi na Mkuu wa Mkoa wa Dar William Lukuvi akiweka shada. Familia ikiomba mbele ya kabuli la pamoja. Picha kwa hisani ya mdau Francis Godwin

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...