July 18, 2008

Nelson Mandela at 90.

Happy 90Birth Day the greatest man of the century and true icon Nelson Mandela, we realy proud of you Madiba, may the almighty grants you more 90yrs. HAKIKA MZEE MADIBA NI MMOJA KATI YA VIONGOZI WA KARNE TOKA AFRICA AMBAO NI MFANO WA KUIGWA. SI RAIHISI SANA KUMWELEZEA MZEE MANDELA UKAMMALIZA NA HASA KTK KABLOG KAMA HAKA, LAKINI ITOSHE KUSEMA KUWA HUYU NI MMOJA YA VIONGOZI WACHACHE SANA DUNIANI NA BARANI AFRICA AMBAO UNIFANYA NITEMBEE KIFUA MBELE NA KURINGIA UAFRICA WANGU,
Posted by Picasa

MUHAS HOSTELS INATISHIA MAISHA!!!

Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI.
BAFUNI NAKO NI BALAA.
NA HAPA NDIPO WANAPOZALISHWA WATAALAMU WETU WA AFYA KATIKA MAZINGIRA YASIYO YA AFYA, KWA MAANA YA MADAKTARI PAMOJA NA WAUGUZI KILA MWAKA.
Posted by Picasa

MUHAS

HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
Posted by Picasa

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...