Na kwa wale wasiotaka kuokoka someni ujumbe huo.Huwa nina kawaida au tabia ya kusoma kila kilichombele yangu kilichoandikwa, sijui kama kawaida/tabia hii ni mzuri au la kila mtu aweza sema lake.
Lakini jambo moja nilijualo ni kuwa kila nisomapo chochote kile sikosi kupata ujumbe au kujifunza jambo,
Ni wangapi wetu uwa twapoteza japo sekunde ka si dakika kusoma hivi vitiketi vya daladala? hebu soma kwa makini tiketi hii alafu niambie kile ulichogundua au kujifunza hapo. Jibu unalo.
Leo nimebahatika kupanda magari mawili ambalo kila moja lilikuwa na jumbe toka pande mbili za imani zetu kuu au kielelezo cha ustaarabu na utamaduni wetu watanzania wa kuweza kujichanganya pasipo kuwa na mikwaruzano na kila mtu akashika hamsini zake.
Moja wapo ni hili lililonipa tiketi hiyo, na la pili lilikuwa na kila namna ya ujumbe ndani ya basi wa Qorani takatifu kuanzia ule wa "Allah is One" N.K Lakini muziki uliokuwa ukitutumbuiza na kutusahaulisha machungu ya foleni za jiji la Bongo ulikuwa toka kwa Dada Upendo Nkone, kwa wale wapenzi wa nyimbo za Gospel mwajua ni nyimbo za aina gani dada huyu aimba au za milindimo ya namna ipi. Basi ilikuwa ni burudani kwetu sote, na hii ndio Tanzania kisiwa cha amani na ustaamilivu wa imani.
January 26, 2009
Ujumbe kila kona..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wakurugenzi watendaji wa mitandao ya simu za mikononi za Zain, Zantel na Tigo. kutoka kushoto ni bwana N...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...
No comments:
Post a Comment