September 29, 2008

TANESCO YASITISHA MGAO.

TANESCO IMESITISHA MGAO WA UMEME BAADA YA WATAALAMU TOKA USA KUWASILI NA KUREKEBISHA KASORO ZLOJITOKEZA KATIKA MITAMBO YA KUZALISHIA UMEME YA SONGAS WIKI ILIYOPITA.

Mpiganaji aenda bondeni kwa matibabu

Mpambanaji au mpiganaji Athumani Hamis atimaye jana alifanikiwa kuondoka kwenda Bondeni kwa matibabu zaidi tokana na ajari ya gari aliyopata yapata zaidi ya wiki mbili sasa uko kibiti akielekea Kilwa, anatarajiwa kupatiwa huduma ktk Hospital ya Millpark ktk jiji la Jo'burg. KWA NIABA YA WADAU NA WAPAMBANAJI WOTE TWAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU MATITABU HAYO YAENDE SALAMA UPATE KUPONA NA HATIMAYE UREJEE KTK URINGO KUENDELEA NA MAPAMBANO, TWAKABIDHI MAOMBI YETU KWA BABA MUNGU MWENYEZI TUKIAMINI YAKUWA KWAKE HAKUNA LISILOWEZEKANA NA KUWA TUKIOMBA NENO LOLOTE KWAKE HUKU TUKIAMINI BASI TUMEPEWA NALO LIMEKUWA LETU. Marko 11:24

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...