- kuhusu EPA, ni shs bilion 53 tu ndo zimerudishwa. Watuhumiwa pamoja na kurudisha pesa wameporwa hati zao za kusafiria na kuwa zitataifishwa mali zao zote pamoja na magari yao ya kifahari waliokuwa wakitanulia nayo mitaani, na kuwa kikomo cha kurejesha pesa hizo ni Oktoba 31 wale watakao kuwa hawajarejesha kukiona cha moto
- . pia pesa hizo kakiri kuwa hazikuwa za serikali na kuwa ni za wafanyabiashara wa nje na kuwa sasa zitaelekezwa kwenye kilimo lengo likiwa kuanzisha benki ya kilimo kwa mabenki wanasema kuwa kilimo hakikopesheki.
August 21, 2008
Hotuba ya JK
Rais ametoa hotuba kwa takribani masaa matatu na ushee hivi, kaongea mengi sana,
KIWANDA CHA SIRAHA ZA KIENYEJI
Polisi watibua dili la ujambazi dar
NCHI NI TANZANIA.
RAIS KIKWETE ANAENDELEA NA HOTUBA YAKE BUNGENI AMBAYO AMEANZA YAPATA SAA SITA NA ROBO HIVI, MOJA YA MAMBO ALIYOGUSIA NI HILI ZA ZANZIBAR NI NCHI AU LA,
AMESEMA
"NCHI NI TANZANIA" full stop.
NA KUWA WENYE AJENDA ZA SIRI WASEME.
TUTARAJIE NINI LEO TOKA KWA JK?
Wakati Mkuu wa Bongo Rais JK anatarajiwa kulihutubia bungemfupi ujao kwa mara ya pili toka kuingia madarakani yapata miaka mitatu iliyopita muda mengi yamekuwa yakiisiwa au kuzungumzwa kwamba uenda akayagusia katika hotuba yake hiyo muhimu kwa taifa letu.
mengi yametokea na mengi yanaendelea kutokea toka kulihutubia bunge hilo December mwaka 2005, nadhani si vyema nikarudia hapa kuorodhesha yote yaliyo jili hapa bongo kwa kipindi kifupi hicho lakini yakiwa ni makubwa na muhimu kwa mustakbali wa taifa letu hili changa.
tusubiri tusikie kile ambacho mkuu wa nchi ataka kuwaambia wanachi kupitia kwa wabunge wao.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...