February 8, 2008
Pinda apitishwa kuwa PM
Bunge lapiga kura kumpitisha Mtoto wa Mkulima kuwa Waziri Mkuu
Kura zilipigwa - 282
Iliyoaribika - 1
hapana - 2
Ndio - 279
Newzzzzzzzzzz Pinda 4 PM
Spika ndo amefungua bahasha toka kwa Rais yenye jina la Next PM,
amepemdekeza jina la Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mtoto wa Mkulima) mbunge wa Mpanda Mashariki.
Hii ndo CV ya Mtoto wa Mkulima:-
- PindaMizengo Kayanza Peter
- Mpanda Mashariki Constituency
- Born 12 Aug 1948- 60 Years of Age
- EDUCATIONUniversity of Dar es Salaam LLB 1971 1974 GRADUATE
- EMPLOYMENT HISTORY
- Prime Minister’s Office - Regional Admin.& Local Governments. Minister 2006
- Prime Minister’s Office - Regional Admin.& Local Governments.Deputy Minister 2000 2005
- State House Clerk to the Cabinet 1996 2000
- State House Assistant Private Secretary to the President 1982 1992
- State House Security Officer 1978 1982
- Ministry of Justice State Attorney 1974 1978
LINE UP
Naomba pendekezo la line up ya next JK team, nani atoke na nani aingie?
naombeni msaada wenu wajameni.
je timu itapungua? au itaongezeka?
na je Edo akirudishwa itakuwa vipi?
Mara ya KWANZA
- Ni Mara ya kwanza ktk historia ya Tanzania wimbo wa Taifa kuimbwa kabla ya kikao cha Bunge kuanza.
- Ni mara ya kwanza kwa ktk historia ya Tanzania toka kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa wabunge kutupilia mbali tofauti zao za kiitikadi na kusimama kidete kutetea maslahi ya Taifa hili.
- Ni mara ya kwanza kwa Mawaziri wakiongozwa na waziri mkuu kujiuzulu nyadhifa zao bungeni kutokana na kuhusishwa na kashfa ya kubwa ya Richmond au Richmond Gate.
- Ni mara ya kwanza kwa Raisi awamu ya nne kuvunja baraza zima la mawaziri lililodumu miaka miwili tu kutokana na kashfa ya Richmond gate.
- Ni mara ya kwanza kwa Kamati teule ya Bunge kuchunguza na kutoa hadharani kashfa kubwa ya Richmond Gate, kuungwa mkono na wabunge wote na wananchi na mapendekezo yake kufanyiwa kazi.
- Lakini ni Mara ya kwanza pia kwa Mtumishi wa MUNGU mchunga kondoo wa BWANA kuingia ktk jumba ili takatifu la bongo.
- Zaidi Lowassa anakuwa ni Alpha PM ambaye ametumikia kwa kipindi kifupi sana na kuachia ngazi hadharani kwa kuhusishwa na kashfa la RICHMONDULI GATE.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...
-
Tanzania denies it’s slowing down integration in East Africa. APA-Kampala (Uganda) Members of the East African Legislative Assembly from...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...