Hii picha ni nzuri sana, nimeipenda sana, hongera kwa aliyepiga picha hii, inaongea zaidi ya maneno millioni moja unapozungumzia mchakato wa katiba, inaongea vitu vingi sana kuliko unavyoweza kueleza, inaonesha jukumu kubwa lililo mbele ya Mheshimiwa Rais kiasi kwamba inabidi aipitie hotuba yake mara kadhaa, pengine kuongeza au kupunguza baadhi ya mambo.
NICE PIX.
March 22, 2014
Edmark Tanzania 2nd Anniversary and Natural Beauty Product Launch
Bidhaa hizi za uembo zimekuwa zikisubiriwa kwa muda mrefu sana, baada ya kupata vibari vyote toka malmaka husika serikalini sasa zitatambulishwa rasmi nchini siku hiyo ya shereha kutimiza miaka 2.
Huu ni mkombozi kwa watu wote wanaopenda urembo asilia, pia wale wote waliokwisha athirika na madawa yenye kemikali kali wanaweza kutumia hizi kutunza ngozi zao.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...
-
Tanzania denies it’s slowing down integration in East Africa. APA-Kampala (Uganda) Members of the East African Legislative Assembly from...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...