October 28, 2009

Mchakamchaka, mazingaombwe yangalipo shuleni siku hizi??

"Jua lilee literemke mamaaa, mwezi naoo utelemkee mamaaa haiyahiyaa hiyaa hiyaaa mamaaaa.............." Je wakumbuka nyimbo gani za mchakamchaka za enzi zile? au ni nini wakumbuka katika miaka ya sabini na themanini shule za msingi na sekondari? Wakti ule tulikuwa ukifika shule tu mwakimbia mchakamchaka na kuimba nyimbo kibao hivi bado yafanyika hayo?? Nakumbuka wakti tuko Sekondari Jite Best kulikuwa na mwalimu mmoja anaitwa GB alikuwa anakuja saa kumi na nusu na kugonga kengere na kiboko mkononi, ole wako ubakie bwenini ujifanye ujasikia, hizo bakora zake ni balaa, hivi vingalipo hivi?? Mazingaombwe mwayakumbuka??? wale wakongo walikuwa wanajifanya wanatengeneza pesa, vitambaa, kalamu, NK na ilikuwa unalipa kiingilio na mwatangaziwa shule nzima siku hiyo HAKUNA MASOMA, hivi waliishiaga wapi wale?? Mdau ni kitu gani wakumbuka???

Hongera Tamila & Sarah

Bwana Harusi Emmanuel Makene Tamila na Bi Harusi Sarah Mgaya wakipozi mara baadaya kufunga pingu za maisha Jumamosi iliyopita. Tamila ni Mwanasheria Kitaaluma na Mmiliki wa Kampuni ya Sheria ya Kings Law Chembers na Pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni, mwenyeji wa Mwanza na Bi Harusi Sara ni Mwanafunzi wa Udaktari wa Madawa katika Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki na mwenyeji wa Ludewa Iringa.

Wabongo wanakimbia ARV?????

TANZANIA: Low uptake of ARVs hampering universal access
HIV-positive Tanzanians are not taking advantage of the availability of life-prolonging anti-retroviral medication in hospitals around the country, says a senior government official. "We have an adequate supply of ARVs in our hospitals and other outlets, but there are few people who are turning out for this important service," David Mwakyusa, Health and Social Welfare Minister, told IRIN/PlusNews. An estimated 250,000 people are taking ARVs, while another 190,000 who need them are not accessing them. In 2008, the government re-affirmed its commitment to achieving universal access to ARVs by 2010. "We are working hard to encourage people to check their HIV status and those infected to go for further medical attention and when necessary start taking ARVs, which are in good supply," the minister said. Mwakyusa also bemoaned the fact that few pregnant women made use of prevention of mother-to-child transmission (PMTCT) services available at antenatal clinics; just 33 percent of pregnant women who require PMTCT services access them, according to UNAIDS. Research has found that although HIV-positive Tanzanians welcome anti-retroviral therapy, transportation, supplementary food costs, ill-treatment at hospitals and difficulties in sustaining long-term treatment all act as barriers to accessing treatment. Fear of stigma as well as HIV denial, which often led patients to seek treatment from alternative healers, and inadequate numbers of trained medical personnel, also prevented patients from accessing healthcare. "Multi-faceted interventions are required to promote regular HIV clinic attendance, including ongoing education, counselling and support in both clinic and community settings," authors of a recent study by the Centre for Population Studies and the London School of Hygiene and Tropical Medicine recommended. Mwakyusa noted that Tanzania was planning to cut the cost of ARVs by producing them locally. He said it was important for the country to become more self-sufficient, especially in the face of the global economic downturn. "We are praying that despite the global financial crisis, donors will continue supporting our efforts," he said. "The financial crisis is clearly affecting the capacity of donors to fund international programmes on AIDS." icheki hapa

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...