February 17, 2008

Bush ndani ya Bongo

Bush amwambia JK baada ya kusaini mafweza:-
"You are a good man, Mr. President, and I am proud to callyou friend,"
Presidents George W. Bush (US) and Jakaya Kikwete Tanzania signed a multi-million dollar aid deal with the government of Tanzania yesterday morning on the second stop of his five-nation tour of Africa. The compact will provide a $698 million Millennium Challenge grant to the nation the bigest ever. Bush's six-day tour of the continent is intended to stress U.S. initiatives to combat HIV/AIDS, malaria and poverty in the region.

VERSE OF THE DAY

“Who shall separate us from the love of Christ? Shall trouble or hardship or persecution or famine or nakedness or danger or sword? No, in all these things we are more than conquerors through him who loved us.”- Romans 8:35,37

Bush JK Signs MCC

Hapa pasipo mazingira mazuri mpangilio mwanana tusingeweza kupata picha nzuri hizi, kama wangekuwa ni watu wetu hapa wote wangekuwa wamejaa mbele ya waheshimiwa hawa kln angalia jinsi mpangilio ulivyo swaafi.

Bush amwaga mapesa Bongo

Bush aliongozana na mkewe pamoja na Condoleza Rice, yako mambo mengi sana ya kujifunza kutokana na ujio huu kwa kitengo cha mawasiliano cha ikulu, wanausalama pamoja na waandishi na hasa watumia kamera. jinsi ya kufanya kazi au kutuwezesha wapigapicha kupata picha nzuri pasipo na bughuza yoyote nadhani hili ni somo kubwa sana kwa ndugu zetu wa usalama ambao wanadhani kuwa kazi ya ni kuzibiti wapigapicha tu, na si kuweka mazingira mazuri ya upatikanaji wa picha bora na si bora picha. Kuna watu wanaitwa Visual Advisors hawa ni watu muhimu sana kuwa nao kama ikulu hakuna mtu kama huyu basi ni vyema kufanyike utaratibu wa kupata mtu huyu. yeye ni kiungo muhimu sana si tu ktk kuhakikisha kuwa panakuwa na mazigira au mandhali nzuri na mwaga tosha eneo la tukio bali pia ni kiungo kati ya kameraman na usalama ktk kuhakikisha kila mtu anafanya kazi yake vizuri.

Bush JK wasaini MCC $700

Marais George Bush wa USA na Kikwete wa Tanzania leo asubui Dar au jiji la Bongo wamesaini MCC wa Dola Milion 700 kwa ajili ya miuondo mbinu na afya, huu ni Msaada mkubwa kabisa kuwai kusainiwa au kutolewa na serikali ya marekani.

Bush ndani ya Bongo

Hatimaye Rais George Bush wa Marekani atua Bongo kuanza ziara ya siku nne ndani ya Bongo, ni ziara ya kwanza kwa rais wa Marekani kufanya na anakuja kusaini kiasi cha dola 700 milion kwa kuimarisha miundo mbinu na afya ya bongo, hii ndio twaita mgeni njoo mwenyeji apone.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...