May 27, 2009

Masikini Liyumba!

Aliyekuwqa Mkurugenzi wa utumishi wa BoT, Amatus Liyumba na Meneja mradi wa benki hiyo Deogratias Kweka wameachiwa huru na Mahakama ya Kisutu leo saa 5:20 baada ya kubaini kuwa hati ya mashitaka ina makosa ya kisheria.
Uamuzi huo ulitolewa leo na Hakimu Mkazi Wariyalwande Lema anayesikiliza kesi hiyo. Baada ya kutolewa uamuzi huo washitakiwa walishuka kizimbani tayari kurejea mahome kabla ya kudakwa tena na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi.
Yaonekana ngoma bado mbichi hapa.

Kero ya Daladala BONGO sasa Bye bye

"Nimerikuta maeneo ya Ubungo likielekea Posta, yasemekana yameletwa ka 200 hivi na mengine 1000 yako njiani kutatua shida ya usafiri na kero zinazoletwa na Daladala"

WAWEKEZAJI WETU

Mwekezaji akipeleka mzigo kwa mteja wake. Wawekezaji wakisubiri wateja.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...