March 3, 2008

KARIBU KWENYE FANI

Hapnshaka Mh. baada ya kustaafu UN na sasa Upatanishi innji jirani sasa katibu mkuu wa zamani Annan anataka kujiunga na fani, karibu sana ujachelewa mi niko tayari kukupa darasa la bure kabisa, ila wadau wanadai eti umewanyima watu kadhaa wenye kazi zao ridhiki kwa kujipigia mwenyewe snap ya nairobare.

NENO LA LEO

For my thoughts are not your thoughts, neither are your ways my ways," declares the LORD. "As the heavens are higher than the earth, so are my ways higher than your ways and my thoughts than your thoughts.”- Isaiah 55:8-9

USHIRIKA LAUNGUA MOTO

Sehemu ya Jengo la Ushirika Mtaa wa Lumumba imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kwa baadhi ya wajasiriamali ambao walikuwa na ofisi zao upande huu, bahati nje moto haukufika upande wa jengo kuu ambao ndio mkubwa ukiwa na maofisi mengi muhimu ikiwapo benki ya CRDB na BRELA. yaamikika kuna sefu ina mafweza hapo jamaa wanapongangania kukata na grenda.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...