March 3, 2008
KARIBU KWENYE FANI
Hapnshaka Mh. baada ya kustaafu UN na sasa Upatanishi innji jirani sasa katibu mkuu wa zamani Annan anataka kujiunga na fani, karibu sana ujachelewa mi niko tayari kukupa darasa la bure kabisa,
ila wadau wanadai eti umewanyima watu kadhaa wenye kazi zao ridhiki kwa kujipigia mwenyewe snap ya nairobare.
NENO LA LEO
For my thoughts are not your thoughts, neither are your ways my ways," declares the LORD. "As the heavens are higher than the earth, so are my ways higher than your ways and my thoughts than your thoughts.”- Isaiah 55:8-9
USHIRIKA LAUNGUA MOTO
Sehemu ya Jengo la Ushirika Mtaa wa Lumumba imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kwa baadhi ya wajasiriamali ambao walikuwa na ofisi zao upande huu, bahati nje moto haukufika upande wa jengo kuu ambao ndio mkubwa ukiwa na maofisi mengi muhimu ikiwapo benki ya CRDB na BRELA.
yaamikika kuna sefu ina mafweza hapo jamaa wanapongangania kukata na grenda.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.