October 28, 2008

Hii imekaaje wadau?????

Tukiachana na maandamano ya wahariri, je hii nayo imekaaje wadau? imekaa njema kweli? askari hawa ambao hawakuona utambulisho wote huu alionao Mroki al maarufu "Father Kidevu" na kuamua kumjebu bila huruma kulikoni? Picha: Mpochi

Wahariri waandamana BONGO

Maandamano yikiwasili kwa Mkuchika. Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo
Mhariri na Mkurugenzi wa gazeti lililotiwa lupango na serikali Mwanahalisi akimfunga mdomo mmoja wa waandamanaji.
Wahariri Kibanda na Mapinduzi
Mwenyekiti wa MISA TAN na Mhadhiri wa UDSM IJMC Ayoub Riyoba (kushoto) na baadhi ya wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali wakiwa mbele ya wizara ya habari baada ya maandamano yaliyoitiswa na bongo Editors forum kupeleka malalamiko kupinga kufungiwa kwa gazeti la Mwanahalisi miezi mitatu na serikali.
Hata hivyo hawakuweza kuonana na waziri wala naibu wake kutokana na kuwa wako Dodoma ambako bunge ndio linaanza leo hii.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...