October 28, 2008
Hii imekaaje wadau?????
Tukiachana na maandamano ya wahariri, je hii nayo imekaaje wadau? imekaa njema kweli?
askari hawa ambao hawakuona utambulisho wote huu alionao Mroki al maarufu "Father Kidevu" na kuamua kumjebu bila huruma kulikoni?
Picha: Mpochi
Wahariri waandamana BONGO
Maandamano yikiwasili kwa Mkuchika. Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo
Mhariri na Mkurugenzi wa gazeti lililotiwa lupango na serikali Mwanahalisi akimfunga mdomo mmoja wa waandamanaji.
Wahariri Kibanda na Mapinduzi
Mwenyekiti wa MISA TAN na Mhadhiri wa UDSM IJMC Ayoub Riyoba (kushoto) na baadhi ya wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali wakiwa mbele ya wizara ya habari baada ya maandamano yaliyoitiswa na bongo Editors forum kupeleka malalamiko kupinga kufungiwa kwa gazeti la Mwanahalisi miezi mitatu na serikali.
Hata hivyo hawakuweza kuonana na waziri wala naibu wake kutokana na kuwa wako Dodoma ambako bunge ndio linaanza leo hii.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.