April 21, 2010
Pamoja na nyongeza 100% Mgomo uko palepale - TUCTA
Bunge larekebisha Sheria Gharama za Uchaguzi- JE KWATOSHA
Bunge limepitisha kwa kauli moja marekebisho ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya Mwaka 2010, baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, kuwasilisha bungeni muswada wa sheria unaopendekeza marekebisho ya sheria 16, ikiwamo sheria hiyo.
Hatua hiyo ilifikiwa jana na Bunge, zikiwa zimepita wiki chache tangu Mbunge wa Karatu (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kukaririwa na vyombo vya habari akilalamikia kitendo cha serikali kuingiza vifungu ndani ya sheria hiyo kinyemela.
Vifungu vilivyolalamikiwa na Dk. Slaa kwamba, viliingizwa katika sheria hiyo nje ya utaratibu wa Bunge, ni pamoja na vifungu vidogo vya 1, 2 na 3.
Dk. Slaa, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chadema, alisema vifungu hivyo viliingizwa katika Kifungu cha 7 baada ya sheria hiyo kujadiliwa na kupitishwa na Bunge, kitu ambacho ni kinyume na utaratibu.
Kutokana na
swali!!
Wadau je kuingiza vifungu kinyemela na baadaye kushtukiwa lakini pamoja na kushtukiwa huko wakana na sasa waamua kuondoa vifungu ama kurekebisha tu kwatosha? hakuna makosa mahali fulani hapo? Je Mkuu wa Nchi hakudanganywa ama kuuziwa mbuzi kwenye gunia?
source:Nipashe
"they shall never perish"
“I give them eternal life, and they shall never perish; no one can snatch them out of my hand. My Father, who has given them to me, is greater than all; no one can snatch them out of my Father's hand. I and the Father are one.”- John 10:28-30
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.