October 23, 2009

WAPIGA KURA HEWA MAMILIONI UGANDA WAGUNDULIKA

Having examined all general election results from the Movement system to present day (1996-2006), we have found un-refuted indications of rigging in all three elections. The group also found among others;
The “Buzaaya County” effect of 1996 where polling stations were counted twice by Electoral Commission. The persistence of “Buzaaya” especially in Kampala needs to be addressed. Subsequently, we have downgraded the Presidential candidate score of Mr Yoweri Museveni from 4.4 million to 4.3 million to reflect the right score. After adjustment, Yoweri K. Museveni scored 75 per cent in 1996. The “Ayivu effect” 2006 where the NRM failed to prevent internal rigging in NRM elections and caused the NRM Presidential candidate to lose a former NRM stronghold (protest vote for opposition).
The “Mushanje effect” – Rubanda County West, Kabale 2006, where the NRM (Museveni) candidate’s victory declared at the polling station was altered and recorded as a Besigye victory at National Electoral Commission. This was done by the presiding officer who probably signed a new declaration sheet after polling. We have no way of authenticating signatures or a citizens’ register from which to compare and cross match.
Conclusions
NRM must unreservedly lead the way to remove all “ghosts” as they are more likely to damage the party in 2011 and will work into FDC plan to bring the NRM candidate below 50 per cent as we shall demonstrate.
Whereas external forces compromise the election results, this report shows that internal non-adherence to the party laws and selective application thereof also undermines the Party’s performance probably to a greater extent.
In order for NRM to succeed in 2011, the Party leadership must ensure internal cohesion and discipline, and adherence to the party constitution. This must apply across the organisation from top Party Leadership to the Branch executive.
We therefore advocate for all NRM to lead by example in ensuring discipline and adherence to the Party laws. This will ultimately ensure 80 Per cent victory for NRM Presidential candidate and all other candidates competing at various levels. We also recommend an early strategic plan from top leadership.

Kiwira kurejeshwa, je ni mwanzo au mwisho wa picha????

HATIMAYE serikali imetangaza rasmi kuwa imeanza kumiliki mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira baada ya kuitaifisha kutoka kwa wamiliki wake.
Hatua hiyo ilitangazwa jana na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, katika ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam, wakati alipokutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwa lengo la kutoa taarifa ya serikali kwa kamati hiyo jinsi ilivyoshughulikia suala la Kiwira baada ya kuahidi kulifanyia kazi wakati wa mkutano wa 16 wa Bunge mjini Dodoma. “Kimsingi serikali imeshauchukua mgodi huo na inaumiliki kama tulivyoliahidi Bunge, kuanzia sasa ni mali ya serikali na hakuna mtu mwenye mkono pale,” alisema Waziri Ngeleja.
Alisema baada ya kuuchukua mgodi huo, hatua ambayo inafuata ni kuwalipa wafanyakazi wake ambao walikuwa wakifanya kazi kwa muda mrefu bila kulipwa kutokana na waliokuwa wamiliki kusimamisha uzalishaji.
“Tunawataka wafanyakazi wote wa Kiwira watuelewe kuwa tunaanza kuwalipa kuanzia wiki hii. Kabla ya Novemba mosi, mwaka huu, wanatakiwa wawe wamelipwa fedha zao zote za malimbikizo,” alisema Waziri Ngeleja.
Alisema fedha zitakazolipwa kwa wafanyakazi hao ni mishahara ya miezi 15, ambayo ilikuwa haijalipwa kwa kipindi chote ambacho mgodi huo ulisimama.
Alipotakiwa kueleza kama waliokuwa wamiliki wa mgodi huo, wameshalipwa na wamelipwa kiasi, Waziri Yona alisema hilo litafahamika zaidi mjini Dodoma wakati atakapowasilisha ripoti yake katika mkutano wa 17 wa Bunge unaotarajiwa kuanza Oktoba 27.
Akizungumzia suala hilo, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, William Shellukindo, alisema wamepokea taarifa ya serikali kuhusu mgodi wa Kiwira na wataiwasilisha bungeni.
“Sisi tumewasikiliza serikali na tutakwenda kuwasilisha bungeni, mengi tutakwenda kusema huko,” alisema Shellukindo bila kufafanua zaidi.
Pia alisema kamati hiyo imefurahishwa na uamuzi wa serikali kuumiliki rasmi mgodi wa Kiwira na kuamua kuwalipa wafanyakazi malimbikizo ya mishahara yao ambayo imekuwa ikilalamikiwa kila mara.
Kamati hiyo ilisisitiza kuwa, suala la Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Daniel Yona kulipwa au kutokulipwa na wamelipwa kiasi gani, litajulikana mjini Dodoma. Hata hivyo, Shellukindo jana aliendelea kugoma kujibu maswali mengi kutoka kwa wanahabari kwa madai kuwa maelezo yaliyotolewa yanatosha.
Azma ya serikali kutaka kurejesha mgodi wa Kiwira mikononi mwake, mara ya kwanza ilitangazwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa mkutano wa 16 wa Bunge. Alisema serikali itachukua hisa zote za Kiwira ili kuondoa lawama zinazomkabili kiongozi huyo wa serikali ya awamu ya tatu.
“Mimi nilichoamua... kama issue ya Kiwira ndiyo kitu kikubwa, nitahakikisha zile hisa zote zinarudi serikalini.
“Nitachukua zote, nitazirudisha serikalini tuanze upya ili tuone kuwa hiki tulichoanza nacho, pengine kitatupa tija tunayohitaji,” alisema Waziri Pinda wakati akifanya majumuisho ya hotuba ya bajeti ya ofisi yake.
Inadaiwa kuwa, familia ya Mkapa na Yona, zilitakiwa kununua mgodi huo kwa sh milioni 700, lakini walikubaliwa wakati wa kusaini mkataba walipe Sh milioni 70 na zilizosalia zilipwe katika kipindi cha miezi sita. Hata hivyo, fedha hizo hazikulipwa.
Makampuni mengine ambayo kwa pamoja yaliungana na kununua mgodi huo ni Choice Industries, ambayo wamiliki wake ni Joe Mbuna na Goodyeer Francis na Universal Technologies, ambayo inamilikiwa na Willfred Malekia na Evance Mapundi. Wabia hawa ndio waliounda Kampuni ya Tanpower Resources Ltd inayomiliki mgodi huo.
Mgodi huo umejengwa na Serikali ya China na kukabidhiwa kwa Serikali ya Tanzania kabla ya kuuzwa kwa wawekezaji wapya Kampuni ya Tanpower, Machi 2007.
source: Tanzania Daima

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...