December 12, 2008

KINA MATAKA WATAKIWA WAACHIE NGAZI.

WAFANYAKAZI wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATC) wameitaka Menejimenti ya Shirika hilo na bodi ya wakurugenzi kujiuzulu kwa kwa kile walichodai kushindwa kukabiliana na dosari zilizosababisha ndege za Shirika hilo kuzuiwa kuruka na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Anga (TCAA).

Hatua hiyo imekuja siku moja tu baada ya Mkurugenzi wa ATC, David Mattaka kukiri kuwa shirika lake ilikaguliwa na kukutwa na dosari 482 ambazo zilipelekea TCAA kuiamuru kusimamisha huduma. Katika kikao cha dharura kilichoitishwa na chama cha wafanyakazi wa ATC (COTWU) jana Dar es Salaam, wafanyakazi hao walimtaka Mattaka na watendaji wenzake na Bodi kuachia ngazi.

“Hakuna sababu ya kulindana, wala kutafuta mchawi, mchawi wetu tuna mfahamu ni menejimenti na bodi yake, hawa wajiuzuru,” alisema mfanyakazi mmoja ambaye hakutaka kutaja jina lake.

“Menejiment imeshindwa kufanya mawasiliano na sisi kuhusu dosari hizo mpaka hali imefikia hapa … ukiachilia mbali wafanyakazi takribani 100 hawajalipwa mshahara wa Novemba,” alisema Mwingine.

OFISI YA WAZIRI YATEKETEA KWA MOTO

JANA USIKU JIJINI ILIKUWA NI USIKU WA MIOTO BAADAY MIOTO KUTOKEA SEHEMU MBALIMBALI IKIWAPO KIWANDA CHA BAKHRESSA ZAMANI NMC NA WIZARA YA UTALII NA MALIASILI NK.

PENGINE MOTO UTAVUTA HISIA ZA WENGI NI WA WIZARA HII AMBAO UMETEKETEZA OFISI YA WAZIRI NA HAPANSHAKA NYARAKA MUHIMU PIA ZITAKUWA ZIMETEKETEA.

VYANZO VYA MIOTO HIYO NA HASARA GANI IMEPATIKANA BADO HAVIJAJULIKANA.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...