NEC imemaliza kazi muda si mrefu kwa kumtangaza Mgombea wa CCM Jakaya Kikwete kuwa mshindi wa kiti cha Urais 2010 - 2015 kwa ushindi wa kishindo asilimia 61.17 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Dr Wilbrod Slaa.Tume iritarajia wapigakura Milion 20 lakini waliojitokeza ni asilimia 42% tu yaani Milion 8, wapigakura hawa hawafikii idadi ya waliopiga kura mwana 2005 kama takwimu zinavyoonesha hapo juu.Je nini kimetokea? kuna ugonjwa gani wa ghafla umewapata watanzania ata wasitokee kupiga kura? Je idadi hii ya watu waliojiandikisha ina walakini? NEC watakuwa na majibu na pengine maswali mengi zaidi ambayo yatazidi kuibuka kuhusiana na hili.Nampongeza Mh JK kwa kupata nafasi ya kuongoza tena ama kumalizia kipindi chako cha pili kwa mujibu wa katiba. Hongera sana na MUNGU akubariki katika utekelezaji majukumu yako.
November 5, 2010
Ushindi wa KISHINDO
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Dr H Mwakyembe akishushwa toka ktk ndege ya kukodi na kupelekwa moja kwa moja MOI kwa Matibabu zaidi, Dr Mwakyembe alipata ajali ya gari m...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...