April 30, 2010
April 29, 2010
Utafit REDET wapondwa ama wapendwa???
REDET poll wins applause
THE publication of the REDET opinion poll yesterday which gave the highest ranking to President Kikwete at the expense of his rivals was welcomed by both the ruling and opposition political parties’ leaders alike. The ruling CCM which got the highest ranking in the poll ranking expressed optimism that the party will win the forthcoming general elections with flying colours. Opposition leaders also saw hope for their prospects in the poll findings which indicated that two thirds of the sitting MPs will lose their seats. |
Yes I know!
April 22, 2010
Snap toka Mjengoni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wananchi kutoka jimbo la uchaguzi la Kondoa Kaskazini, ambao walitembelea Bunge, Aprli 22, 2010 kwa mwaliko wa Mbunge wao, Zabein Muhaji Mhita (wapili kushoto). Walikuwa kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Yalojili Makao Makuu leo..
TTB Mpooooo? Tanzania, Botswana Top Africa Travel Destinations
The results are in. The Fazendin Portfolio, a travel representation firm specializing in marketing African safari camps, lodges and safari outfitters, released the results of its first quarter 2010 African Travel industry survey.
What did they find? The selection of Tanzania and Botswana as top African travel destinations in 2010, a growth in online/social media in marketing African travel in 2010 and beyond, and a continued challenge in keeping up with and qualifying inquiries.
The results were gathered from surveys taken by travel agents and tour operators, over two-thirds of whom travel to
The most important factors for clients were camp guides/hosting and value for money. Green/eco-friendly operations did not appear to be particularly important.
When asked the greatest business challenge of 2010 thus far, respondents mentioned keeping up with the volume of inquiries. However they added that not all inquiries are serious and it makes it difficult to qualify and make the sale while being time efficient.
Visit www.fazendinportfolio.com.
April 21, 2010
Pamoja na nyongeza 100% Mgomo uko palepale - TUCTA
Bunge larekebisha Sheria Gharama za Uchaguzi- JE KWATOSHA
Bunge limepitisha kwa kauli moja marekebisho ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya Mwaka 2010, baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, kuwasilisha bungeni muswada wa sheria unaopendekeza marekebisho ya sheria 16, ikiwamo sheria hiyo.
Hatua hiyo ilifikiwa jana na Bunge, zikiwa zimepita wiki chache tangu Mbunge wa Karatu (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kukaririwa na vyombo vya habari akilalamikia kitendo cha serikali kuingiza vifungu ndani ya sheria hiyo kinyemela.
Vifungu vilivyolalamikiwa na Dk. Slaa kwamba, viliingizwa katika sheria hiyo nje ya utaratibu wa Bunge, ni pamoja na vifungu vidogo vya 1, 2 na 3.
Dk. Slaa, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chadema, alisema vifungu hivyo viliingizwa katika Kifungu cha 7 baada ya sheria hiyo kujadiliwa na kupitishwa na Bunge, kitu ambacho ni kinyume na utaratibu.
Kutokana na
swali!!
Wadau je kuingiza vifungu kinyemela na baadaye kushtukiwa lakini pamoja na kushtukiwa huko wakana na sasa waamua kuondoa vifungu ama kurekebisha tu kwatosha? hakuna makosa mahali fulani hapo? Je Mkuu wa Nchi hakudanganywa ama kuuziwa mbuzi kwenye gunia?
source:Nipashe
"they shall never perish"
“I give them eternal life, and they shall never perish; no one can snatch them out of my hand. My Father, who has given them to me, is greater than all; no one can snatch them out of my Father's hand. I and the Father are one.”- John 10:28-30
April 20, 2010
Shy Rose uso kwa macho na Mtoto wa Mkulima
JK appoints Tourism Goodwill Ambassador
April 19, 2010
JK akutana na boss wa ICC, Luis Moreno-Ocampo
TAUSI BADO YUKO JUUUUU
April 16, 2010
NEC yatangaza majimbo mapya na ratiba ya uchaguzi 2010
1.Ugawaji wa Majimbo Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kwa mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 75 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977,inawatangazia wadau wa Uchaguzi na Wananchi kwa ujumla kuwa itagawa Majimbo ya Uchaguzi yafuatayo.
i.Nkasi
ii.Tunduru
iii.Maswa
iv.Kasulu Mashariki
v.Bukombe
vi.Singida Kusini
vii.Ukonga
Taarifa zaidi kuhusu Majimbo hayo mapya yatakayoanzishwa itatolewa baada ya Tume kukutana na wadau wa Majimbo husika.
2. Ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 Kwa mujibu wa Vifungu vya 37(1)(a) na 46(1) vya Sheria ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Vifungu vya 41(1) na 48(1) vya Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ,Sura ya 292, Tume ya Taifa ya Uchaguzi pia inawatangazia Wananchi wote kuwa Ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 kwa Uchaguzi wa Rais, Bunge na Madiwani itakuwa kama ifuatavyo;
1. UTEUZI WA WAGOMBEA - 19 AGOSTI,2010
2, KAMPENI ZA UCHAGUZI -20 AGOSTI, HADI 30 OKTOBA,2010
3. UPIGAJI KURA 31 OKTOBA, 2010
Kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi, Tume itawatangazia Wananchi rasmi, tarehe ya kutoa Fomu za Uteuzi kwa wagombea.
JAJI MSTAAFU LEWIS M.MAKAME MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
MKUKUTA DOM
April 15, 2010
JK yuko UN.
UN Secretary General Ban Ki Moon welcomes President Jakaya Mrisho Kikwete for joint Press Conference shorlt after the conclusion of a special UN closed door meeting on improving Maternal Health Held at the UN Headqarters in New York this morning.
Mama Salma ziarani Kilimanjaro
Buriani mkutanoni Nairobi.
MKUTANO WA PILI WA MAWAZIRI KUHUSU UDHIBITI WA MAAFA KATIKA BARA LA AFRIKA, 14-16 APRILI 2010, NAIROBI, KENYA
April 14, 2010
Tanzania Kids Soccer
April 12, 2010
Rais na Msafara unapotekea kwa ghafla.- KINGA NI BORA ...
Kumbukumbu ya kifo cha SOKOINE leo
April 8, 2010
Mgombea Binafsi RUKSA?????
Serikali leo inatarajiwa kutoa sababu za msingi za kupinga mgombea binafsi kwenye Mahakama ya Rufaa ambako ilikata rufaa maamuzi ya Mahakama Kuu kuruhusu mgombea binafsi katika kesi iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa chama cha Democratic Party (DP) Christopher Mtikila.
Serikali ilikata rufaa Mahakama ya Rufaa mwaka jana ikipinga hukumu ya Mahakama Kuu Dar es Salaam iliyotolewa Mei 5 2006 katika kesi ya msingi namba 10 ya mwaka 2005 iliyofunguliwa mahakamani hapo na Mchungaji Mtikila Februari 17 mwaka 2005 akiiomba mahakama hiyo pamoja na mambo mengine iamuru kuwepo kwa mgombea binafsi.
Katika hukumu hiyo jopo la majaji watatu wa mahakama Kuu Dar es Salaam, jaji Amir Manento, jaji Salum Massati na jaji Thomas Mihayo, wakati huo walikubaliana na maombi ya Mchungaji Mtikila na kuruhusu kuwepo kwa mgombea binafsi.
Hata hivyo serikali ilikata rufaa Mahakama ya Rufaa, ambayo ilitarajiwa kusikilizwa Februari 8 mwaka huu lakini iliahirishwa hadi leo baada ya serikali kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(Dag), George Masaju kuomba iahirishwe ili ipate muda zaidi wa kujiandaa katika kutoa hoja zake.
Wakati muda huo serikali ilipewa kujiandaa zaidi ukiwa ndio umemalizika na leo inakuja tena mahakamani, mahakama hiyo nayo kwa upande wake imekuwa ikichukua hatua madhubuti za kujiimarisha kujiongezea nguvu zaidi kwa kutafuta msaada zaidi wa kisheria kutoka kwa watalaamu wa mambo ya Katiba na sheria kwa jumla.
Jambo kubwa la kuvutia wakati wa usikilizwaji wa rufaa hiyo ni kwamba leo itasikilizwa mbele makundi mawili yenye majopo ya majaji tofauti na awali kabla ya kuahirishwa.
Majopo hayo ni pamoja na jopo la majaji saba wa Mahakama ya Rufaa na jopo la wataalamu watatu wa sheria, wasio majaji wala mawakili, ambao kwa lugha ya taaluma ya sheria hujulikana kama marafiki wa mahakama (Friends of Court).
Jopo la majaji wa Mahakama ya Rufaa katika rufaa ya kesi hiyo hiyo ni pamoja na Jaji Mkuu mwenyewe Ramadhani ambaye ndiye kiongozi wa jopo la majaji hao akisaidiana na Jaji Eusebio Munuo, Jaji Januari Msofe, Jaji Benard Luanda, Jaji Mbarouk Mbarouk, Jaji Engela Kileo na Jaji Sauda Mjasiri.
Kwa upande wa jopo la marafiki wa mahakama ambao tayari wameitwa na mahakama hiyo kushiriki kwenye rufaa ya kesi hiyo ni pamoja na Profesa Kabudi Palamagamba na Profesa Jwani Mwaikusa ambao wote ni wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaa (UDSM).
Pamoja na maprofesa hao wawili wa UDSM, mwingine katika jopo hilo ambaye pia ameitwa na mahakama hiyo kushiriki katika usikilizwaji wa rufaa ya kesi hiyo ni Mkurugenzi wa mashtaka wa Zanzibar Othmani Masoud.
Katika barua za kuwaita kushiriki katika rufaa ya kesi hiyo Jaji Mkuu Ramadhani alisema ameamua kuwaita kushiriki katika kesi hiyo kutokana na umuhimu wa suala hilo kikatiba na kwamba kwa uzoefu wao katika mambo ya kisheria anaamini kuwa Mahakama hiyo itafaidika sana na ushauri wao kutokana na uzoefu wao katika mambo ya kikatiba.
Hoja ya kuwepo kwa mgombea binafsi imekuwa ikiungwa mkono na wadau mbalimbali wa siasa na utawala bora wakidai kuwa uamuzi huo utazidi kupanua wigo wa demokrasia nchini.
Jaji Mkuu Ramadhani pia kwa upande wake amewahi kukiri kuwa suala hilo lina umuhimu wa pekee na kwamba ni kutokana na umuhimu huo ndio maana aliamua kuteua jopo la majaji saba kusikiliza rufaa ya kesi hiyo.
SOURCE: MWANANCHI
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...