January 22, 2008
Mikukus..
wale wapenzi wa kujichana na hasa makuku sasa watayapata ktk muonekano bora zaidi toka Interchick.
Mwenyekiti wa bodi wa Interchick Kalokola Bwesha na naibu waziri wa mifugo Dr Mlingwa wakipata vikorombwezo vya vyuku toka Interchick
wengi na hasa wakazi wa maeneo ya mbezi beach, kunduchi, tegeta na vitongoji kadhaa vya dar bado wakumbuka yale makuku ya wakti uleeeeeeeee sasa yamekuja tenaaaa.
BODI RUUM..
Mambo ya kushangaa ni mengi sana bongo na hasa hapo PAITWAPO BOT uwezi amini kuwa pamoja na minara yote hii miwili na jengo la kati lakini bodi room ni kiduchu kiasi kupita mpaka msuguane migongo!!!
hivi hilo jengo lote ambalo naamini kuwa ni kubwa kuliko pengine jengo lolote bongo isipokuwa labda bunge ni la kazi gani hasa?
au hata wafagizi wana ofisi zilinganazo na flooor nzima?
JK ndani ya BK.
1.Wazee wa mji wa Bukoba wakimpa zawadi za jadi Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Uhuru mjini humo jana.baadaye Rais Kikwete alihutubia mkutano wa hadhara.
2.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga ngoma ya mtawala wa jadi aliyokabidhiwa na wazee wa mji wa Bukoba juzi katika viwanja vya Uhuru mjini hapo.
3.Umati wa mamia wa wakazi wa mji wa Bukoba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa akiwahutubia juzi.
4.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mzee Paulo Kilaini mwenye umri wa miaka 80 katika kijiji cha Katoma nje kidogo ya mji wa Bukoba juzi.Mzee Paulo Kilanini ni Baba Mzazi wa Askofu Msaidizi Jimbo kuu Katoliki la Dar es Salaam Mhashamu Method Kilaini.Rais Kikwete alikwenda kijijini hapo kukagua maendeleo ya Shule ya msingi Kilaini iliypjengwa na Askofu huyo katika kiwanja alichokitoa Babu yake.
Kwa wale msofahamu mila za BK
VAZI la kanzu na koti ni vazi la heshima kwa Wazee wa mkoa huu na mara kijana anapooa upewa upewa kanzu, mkuki na mundu hii kutambua kwamba kijana sasa kawa mtu mzima na anaweza kuongea na kukaa na wazee wa kijiji na kutoa mchango wake, kama ujaoa hata kama utakuwa na miaka mia we ni mtoto tu huwezi ongea mbele za wazee.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...