October 2, 2008
Tabora vilio vyatawala
Kwa upande wa mkoa wa TABORA Sikukuu haikuwa njema kwao baada ya watoto wapatao 20 kufa kwa kukosa hewa ktk ukumbi wa disco mkoani humo,
Rais JK pamoja na kutoa salamu za rambirambi pia ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike kuhusiana na tukio hilo kubwa na la kusikitisha.
Bongo ilivyosherekea idd
Watoto toka maeneo karibu na aepoti warijaribu kwenda kuosha macho hata hivyo walitolewa nje na wahusika ati wanapotea sana waiingia hapo njia panda ya ulaya!!!!!1
.......wa Manzese na maeneo karibu yake walijimwaga Darajani wakabalizi kwani hawana pengine pa kwenda maana viwanja stahiki kwao vimeuzwa.......
........coco ilikuwa baraha maana umati si wa kawa.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...