Mfanyabiashara maarufu aliyepata kuwa Mkurugenzi, Mwenyekiti, Rais, nk wa mashirika na asasi mbalimbali Anald Kileo amewaasa watumishi wa umma kuandaa mazingira bora na safi na raini ya kuelekea kwenye sekta binafsi mara ajira zao zinapofikia ukomo ili watue uko huku wakikimbia kwani ndio kimbilio mara baada ya ajira ya umma. Wosia huu ilitokana na mada ya rais wa zamani wa TCCIA Elvis Musiba kuwa ukiritimba uriokithiri kwa watumishi wa serikali ni kiwazo kikubwa sana ktk sekta bibafsi kufanya biashara na kuwa utakapo kuanzisha biashara leo basi anza angalau miaka mitatu kabla kufatilia serikalini.
November 19, 2008
WOSIA WA BURE KWA WATUMISHI WA UMA.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...