November 19, 2008

WOSIA WA BURE KWA WATUMISHI WA UMA.

Mfanyabiashara maarufu aliyepata kuwa Mkurugenzi, Mwenyekiti, Rais, nk wa mashirika na asasi mbalimbali Anald Kileo amewaasa watumishi wa umma kuandaa mazingira bora na safi na raini ya kuelekea kwenye sekta binafsi mara ajira zao zinapofikia ukomo ili watue uko huku wakikimbia kwani ndio kimbilio mara baada ya ajira ya umma. Wosia huu ilitokana na mada ya rais wa zamani wa TCCIA Elvis Musiba kuwa ukiritimba uriokithiri kwa watumishi wa serikali ni kiwazo kikubwa sana ktk sekta bibafsi kufanya biashara na kuwa utakapo kuanzisha biashara leo basi anza angalau miaka mitatu kabla kufatilia serikalini.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...