Miss Tanzania 2010,Genevive Emmanuel, ameondoka leo hii kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya ulimbwende ya dunia (Miss World 2010) yanayotarajiwa kufanyika huko Sanya nchini China tarehe 30 Oktoba 2010.
September 30, 2010
Kura ZERO ina maana gani?
Katika pitapita zangu kule NEC nikitafuta kuona landa patakuwa pamewekwa majina ya wagombea wote wa mwaka huu japo wa urais tu bila mafanikio, katika chimbuachimbjua ndani ya mtandao huo nakutana na matokeo ya mwaka 2005, nikacheki ya Dar kwanza, si mwajua ndo Tanzania yenyewe, huko nakumbana na matokeo hayo,
Kwamba uchaguzi ule kuna watu walipata ZERO ama buyu, sielewi, yaani hata yeye mwenyewe hakujipigia kura? mbali na mkewe au jirani, ndugu ama jamaa nk..
Mhh habari ndo hiyo.
Kampeni Zanzibar
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...