September 30, 2010

Kila la kheri Genevive

Miss Tanzania 2010,Genevive Emmanuel, ameondoka leo hii kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya ulimbwende ya dunia (Miss World 2010) yanayotarajiwa kufanyika huko Sanya nchini China tarehe 30 Oktoba 2010.

Kura ZERO ina maana gani?

Katika pitapita zangu kule NEC nikitafuta kuona landa patakuwa pamewekwa majina ya wagombea wote wa mwaka huu japo wa urais tu bila mafanikio, katika chimbuachimbjua ndani ya mtandao huo nakutana na matokeo ya mwaka 2005, nikacheki ya Dar kwanza, si mwajua ndo Tanzania yenyewe, huko nakumbana na matokeo hayo,
Kwamba uchaguzi ule kuna watu walipata ZERO ama buyu, sielewi, yaani hata yeye mwenyewe hakujipigia kura? mbali na mkewe au jirani, ndugu ama jamaa nk..
Mhh habari ndo hiyo.

Kampeni Zanzibar

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM mkutano wa kampeni Mkoa wa kaskazini Unguja.
na Amour Nassor VPO.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...