January 29, 2008
Marehemu Tumaini Mbaga
Yaaminika kuwa mwili uliokotwa uko Kwembe ukiwa umearibika vibaya kuwa ni wa aliyekuwa Dereva wa Naibu Waziri Usalama wa Raia aliyetoweka yapata wiki mbili sasa Bw Tumaini Mbaga,
pamoja na kuwa inasubiriwa taarifa ya mkemia mkuu, Mke wa dereva huyo ametambua baadhi ya vitu kama suruali, soksi na kitambaa kuwa ni vya mumewe,
Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na utekaji au mauaji ya dereva huyo, na bado ni kitendawili kikubwa juu ya lengo hasa la wauaji wake hasa ikizingatiwa kuwa gari lilipatika likiwa limetelekezwa CCM Tabata siku moja tu baada ya kuchukuliwa CCM Temboni.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...