July 1, 2008
Bank Holiday??????????????????
Sakata la jezi, Eto'o, Kanavalo na TFF
Wadau naomba tuchangie juu la jambo hili, kwanza nna maswali machache tu ambayo yalikuwa yakintatiza toka kuanza kwa sakata hili kabla ya Rais Tenga kulitolea ufafanuzi jana ambao ndo umezidi kuongeza maswali, moja je kulikuwa na haja gani kwa TFF au msemaji wake (maana sijui ka alitumwa na mabosi wake au la) kuliweka wazi hili kwa vyombo vya habari ambavyo kwa dunia ya utandawazi ni sawa kulianika dunia nzima?
2. Je hao wanaoitwa wadhamini ambao twasikia kila siku wanatoa mapesa kibao je wanatoa jezi ngapi kwa Stars ata timu iwe na jezi za kauka nikuvae? na je wangeshindwa kutoa iyo 20,000 ata msemaji huyo kutisha kukata posho ya Haroub aka Kanavalo?
3. Kulinga na maelezo ya Tenga napata maswali ya nani alimtuma Msemaji yule kutoa maelezo yale kwa vyomba vya habari je ni TFF? au yamemtoka tu yeye mweneywe kama ni TFF kweli viongozi hawakuliona hilo kabla au kufikili matokeo yake ata Rais aje kutoa tene ufafanuzi wa nini umuhimu wa jezi za taifa?
Nathani kuna tatizo pahala na TFF inapaswa kujipanga sawa kabla ya kuongea na vyombo vya habari au kumpanga sawa msemaji wake kwa si mara ya kwanza msemaji huyo kuchanganya habari.
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.