September 27, 2011

CHADEMA OMBENI RADHI WAISLAM, VINGINEVYO...!

File picture


KATIBU wa sekretarieti ya Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania (Hay- Atul Ulamaa) Sheikh Sherally Huseein (kulia)akitoa tamko kwa waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam kuhusu wafuasi wa Chama cha CHADEMA kukaidi kuomba radhi kwa umma wa Kiislamu kufuatia tukio la udhalilishaji kwa kumvua Hijjab Mkuu wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Mama Fatma Kimario hapo septemba 15 mwaka huu. Katikati ni Naibu Mwenyekiti wa Umoja huo, Sheikh Abdallah Bawazir na kushoto ni Sheikh Manzi Said Manzi wa taasisi ya Mwinyi Mkuu.Picha na Mwanakombo Juma-
MAELEZO







The Union of Islamic Scholars in the country (Hay-ATUL) has pressured CHADEMA to apologize following the assault of Igunga District Commissioner, Ms Fatma Kimario.

 "We request CHADEMA to issue an apology statement to all Muslims in the entire country on what had happened," said Sheikh Hussein.

 He said if Chadema won't issue a statement, the union would mobilize Muslims in the country and all peace well-wishers not to support the party by any means.

 Sheikh Hussein noted that the union's mission was to protect the rights of Muslims and warned any malicious acts that threatened the security of the country.

 Another Party's Legal Advisor, Mr Mabere Marando, accused the leaders of the Muslim organizations who have involved in giving ultimatum to CHADEMA as being touts of CCM. 

source: Daily News

TACCEO kupeleka Waangalizi wa uchaguzi 226 Igunga.




THE Tanzania Civil Society Consortium for Election Observation (TACCEO) will deploy 226 national observers in Igunga for the forthcoming by-election scheduled for this Sunday.

 The TACCEO Chairperson, Ms Martina Kabisama, told a press conference on Tuesday in Dar es Salaam that the consortium that comprises 17 NGOs coordinated by the Legal and Human Rights Centre will cover all polling stations.

 "Since the campaigns started this September, our observers have visited all 26 wards of the district and have visited the polling stations," she said.

 Ms Kabisama explained that the observers would be part of the continued process from the General Elections conducted on October 30, 2010 and aim to establish how the National Electoral Commission (NEC) coordinates and conducts elections.

 She said since elections was a process, the consortium had conducted preliminary observations on the aspects of the campaign preparations of different political parties, coordination of the NEC of the by-election process in Igunga and the actual campaigns of different parties.

 "Our observers have established that there are a lot of good things taking place but there are challenges as well that seriously need to be addressed by the improvement of further elections," she said.
 

Ms Kabisama highlighted the biggest shortcoming in Igunga as decision not to update the permanent voters' register after the 2010 General Elections meaning that hundreds of people will be denied their fundamental constitution right to vote.

 LHRC Lawyer, Mr Merick Luvinga interpreting the Election Act, said it was silent on specific time the voter register is supposed to be updated and that the wording of the law just said 'when possible'.

Dr Shein aapisha maafisa kadhaa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh'd Shein akimuapisha Khamis Haji Khamis kuwa Kadhi Mkuu mpya wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.Picha zote na Hamadi Hija-Maelezo Zanzibar





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh'd Shein akimuapisha Balozi Hussein Said Khatib kuwa Mjumbe wa Kamisheni ya Utalii wa Umma Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh'd Shein akimuapisha Khalifa Hassan Chum kuwa Kamishna wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar.



"Vijana mna very problem, mnaota jua kama solar power"

Swagaz za mgombea wa Ubunge Jimbo la Igunga chama cha UPDP.

Mgombea Ubunge UPDP azindua kampeni Igunga

Msafara wa mgombea ubunge Igunga UPDP Hemed. 


Vimbwanga vya mgomea Ubunge wa UPDP kama ilivyolipitiwa na TBC na kupewa muda wa kutosha tu,

Kwanza kabisa Tangazo “Vinywaji vyooote vinapatikana palee na chips na kila kitu, hapa ni "breki ya nyau”

“ Samaki hana rivasi”

Kauli za Mgombea,
...Vijana mna very problem, mnaota jua mchana kutwa kama solar power! >>>why hakuna ajira, >>> nichagueni mimi, nitafungua lanchi ya mifugo mtalipwa dola, >>> hakuna mwanafunzi kwenda shule na jembe, >>> nitauza VX langu na kununua power tillers, >>; hii ni elimu kwanza na sio kilimo kwanza, >>> nitanunua matrekta na nyie vijana ndio mtakuwa madereva, naombeni kura zenu”


Bahati mbaya sikulipata jina sawasawa, lakini ilikuwa full bururani kama komedi vile kumwanaglia mgombea huyu, cjui kwanini TBC walimpa muda mwingi kiasi kile, 


Picha na Lukansola JF

JK na Kiongozi wa waasi Libya - Je ruksa sasa kwa balozi kupandisha bendera ya NTC?

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Kiongozi wa Serikali ya Mpito ya Libya Bw.Mustafa Abdel Jalil


CCM WOYEEE


Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...