November 19, 2011

NEWS ALERT: Ajari ya Basi la TAQWA na Lori la AZAM Watu zaidi ya 10 wafa papo hapo!!!!!!!!!!








Watu zaidi ya kumi wamekufa papo hapo huku wengine kedhaa wamejeruhiwa vibaya baada ya basi la Taqwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Bujumbura kugongana uso kwa uso na lori la mizigo la Azam eneo la Lusaunga, Biharamulo.

 Bongo Pix imeshuudia miili kumi ikishushwa kutoka katika Fuso no UAM 267 N ambalo lilichukua miili hiyo eneo la tukio, Uongozi wa hospitali ulilazimika kuita watumishi wote hata wale waliokuwa mapumzikoni kuja kuokoa jahazi kwani ni wazi huduma yao ilikjuwa yahitajika katika kipindi hiki.

 Taarifa zaidi za idadi rasmi ya majeruhi, walliofariki na majina yao tutaipata baadaye baada ya kuongea na mamlaka husika, RPC na Mganga Mkuu wa Hospitali.

 Bongo Pix inawapa pole waliofikwa na msiba huu, na zaidi kuwaombea waliojeruhiwa wapate matibabu na kurejea katika shughuri zao.Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi. 

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...