August 25, 2008
Mwakilishi wetu BBA
Kwa miaka miwili mfululizo tumekuwa tukiwakishwa na wanaume ktk lile jumba la Big BROTHER au Kaka Mkubwa na wote kufanikiwa kufika hadi mwisho kwa mmoja kuibuka wa pili (Mwampamba) na mwingine kuibuka kidedea yaaani Richard, lakini mwaka huu ndani ya Jumba la Kaka Mkubwa wa Africa kwa mara ya kwanza tumepeleka binti naye si mwingine bali ni bi Latoya Lyakura binti toka "A" tauni, huyu ni Katibu Muhtasi ambaye apenda kucheza, kushop na kujimix na watu.
Je dada Latoya atafanikiwa kama Richard au angalau kama Mwisho? au ndo..........................................................?
vipuri fake zateketezwa
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...