February 11, 2009
Jongwe, MWANZO MPYA???
Ningali najiuliza jamani!!!!
Characteristics: • Case: black plastic / silver or golden metallic
• Sizes: 44x28x6.5 mm
• Weight: not more than 7 gram (without a battery)
• Record mode: mono
• Battery life in record mode, with sampling rate 8 K Hz, without compression, from fully-charged battery is up to 67 hours
• Battery life in record mode with VAS and audio signal below a threshold) : up to 190 hours
• Power supply: one 3V battery (d=20mm, h=3.2 mm- CR2032)
• Operation time in a stand-by mode: up to 8.5 months You are welcome to find more detailed description of B33
here.
KWANINI KITANDANI?????????
Baada ya DCI na jeshi la polisi kwa ujumla kukiri kuwa vifaa walivyowekewa wabunge wa upinzani yaani Wilbrod Slaa na Dr Ali Tarib Ali kwamba ni vinasa sauti vya kisasa swali kuu sasa ni kwanini CHUMBANI TENA KITANDANI?
hawa waheshimiwa wanamaofisi bila shaka, wana simu, wana magari N.K lakini yeyote aliyelenga au kuchagua kuweka vinasa sauti chumbani tena kitandani alikuwa anataka nini?????
Sote twafahamu (hasa watu wazima) ni nini huwa kinaendelea chumbani na hasa baada ya kuzima taa, Je waalifu hawa ndo walichokuwa wakitafuta????????? au waliambiwa kuwa hawa WAHESHIMIWA huwa wana vikao vyumbani????????? sielewi, sijui, naomba kueleweshwa wadau.
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...