March 17, 2008
Mji Mkongwe hatarini
Baadhi ya majengo ya Mji Mkongwe yanaitaji uangalifu na marekebisho ya haraka kwani yanahatarisha maisha ya wapita njia na zaidi watalii.
TEH TEH TEH.............
FANI
Wanafani wanazidi kuongezeka, Jaji mkuu wa Zanzibar na Mkewe wakipata picha ya ukumbusho na JK.
Tekelinalotujia limeleta mabadiliko mengi ktk ufanyaji kazi, kuingia kwa digital camera kumeraishisha watu kupata kumbukumbu pasi kumuhitaji mpiga picha mtaalamu, kila mtu aweza kwenda ktk shughuri na kakamera kadogo mfukoni na kuchukua kumbukumbu azitakazo.
Je hii ya maanisha nini kwa wanafani? je huu ni mwisho wa wapiga picha wa mtaani na hata wa habari? naomba michango yenu na mitazamo juu ya fani hii na mustakabali wake.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...