March 17, 2008

Mji Mkongwe hatarini

Baadhi ya majengo ya Mji Mkongwe yanaitaji uangalifu na marekebisho ya haraka kwani yanahatarisha maisha ya wapita njia na zaidi watalii.

TEH TEH TEH.............

PANA JAMBO LA KUFURAISHA HAPA, MAANA JK ASHANGAA KULIKONI FAMILIA HII MADEMU TUUUUUU, MABACHELA CHANGAMKIENI HAPO..

FANI

Wanafani wanazidi kuongezeka, Jaji mkuu wa Zanzibar na Mkewe wakipata picha ya ukumbusho na JK. Tekelinalotujia limeleta mabadiliko mengi ktk ufanyaji kazi, kuingia kwa digital camera kumeraishisha watu kupata kumbukumbu pasi kumuhitaji mpiga picha mtaalamu, kila mtu aweza kwenda ktk shughuri na kakamera kadogo mfukoni na kuchukua kumbukumbu azitakazo. Je hii ya maanisha nini kwa wanafani? je huu ni mwisho wa wapiga picha wa mtaani na hata wa habari? naomba michango yenu na mitazamo juu ya fani hii na mustakabali wake.

HAKUNA WANAMUME HUKO?

Familia ya wanasheria ya De Mello, Je hakuna wanaume huko? auliza JK.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...