June 8, 2009

Kesi za mauaji ya maalbino zaanza kuungruma

Wakili wa utetezi katika kesi ya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na vikongwe Bw. Feran Kweka akiongea na watuhumiwa kabla ya kuanza kwa kesi inayowakabili chini ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma Gadi Mjemas. Kikao hicho kimeaza leo (Juni 8, 2009) mjini Shinyanga.
Kesi za mauaji ya Ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi ama Albino zimeanza leo ktk mahakama kuu za kanda ya ziwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi, Kesi hizo zinatarajiwa kusikilizwa mfululizo kwa siku 35.

MUHIMU! WAWEKA WAPI KISELULA CHAKO??

This morning I heard a true and sad story from a colleague of mine. She told me one of her friends is always having miscarriages. When the baby gets to be 2-3 months old she loses it. This happened several times over.

The couple went to check with many doctors and at last one of the doctors examined the dead baby and found that the baby's body cells kept dying as the baby was growing in the womb until he/she could not survive.This was because her uterus was affected by HANDPHONE RADIATION.

The doctor told her she now has no chance to give birth to a healthy baby because the radiation has affected her uterus so that the major portion of the cells in her uterus have already died. This happened because she has been keeping her handphone in her working jacket so that the phone rested against just the right spot for the uterus. She had been wearing it like this for a few years.

Please beware of this and take note if you don't want what has happened to this woman to happen to you.

Dearest family members please do not ignore handphone radiation which will damage our health or body organs. Please put away your handphone when ever you don't need it much.

Guys, Please do not keep your handphone near to the kidney position and pants pocket as this will damage your genital area and affect your ability to father a baby.

The other doctor also advised another friend to keep her handphone away from her new born baby to avoid radiation damage to the baby's brain cells.Do not let the baby or toddler play with the handphone for a long time. This is because the small young baby or toddler is still very fragile and growing, so he/she is much more vulnerable to radiation damage.

Please remember not to sleep together with your handphone or put it next to your bed.

Keep any other electronic goods (such as tvs) which also give off

Radiation away from your bedroom to reduce risk as we have to sleep a few hours every day in our bedroom at night.

Further, do not imagine that if you switch off the TV there will be no radiation. Actually it is still around in your room.

It is not advisable to have even a small digital alarm clock close to your head while sleeping.

Take Care of yourself and your loved ones.

Thank you

thanks to JF

Uvamizi huu wamaanisha nini?

Vurugu zimeibuka katika Kijiji cha Sing'isi wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha baada ya wananchi kuvamia shamba la Madira Estate na kuharibu mazao na mali mbalimbali zenye thamani ya mamilioni ya fedha, huku wakipambana na polisi kwa zaidi ya saa saba.
Vurugu hizo zilianza juzi saa tatu usiku ambapo wananchi zaidi ya 1,000 wakazi wa kijiji hicho wakiwa na silaha mbalimbali za jadi kama mapanga, mawe na fimbo walivamia shamba hilo ambalo pia linadaiwa limeuzwa kwa Mbunge wa Vunjo, Aloyce Kimaro....read more
Je Tanzania sasa yataka kufanana na Zimbabwe au niaje????

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...