July 12, 2011

Dada zetu mwataka nini???

Kuna msemo usemao kuwa ukistaajabu ya musa utaona ya filauni, nimeamini, katika post moja hapo chini "sababu hii pekee au zaidi?" nilihoji sababu za kina dada kutopenda kuvaa kanguo kadogo na kupenda ama kufanya makusudi ili mtu mwingine ajue kuwa hanako kanguo kadogo,

Hapo juu hiyo picha ni halisi imefanyiwa ufundi ktk photoshop ionekane ya kuchora, mdada anaoneka ni mcheza shoo katika ukumbu fulani na bila shaka mbali na watazamaji lakini alijua kuwa kuna wapiga picha, hivyo pamoja na kuvaa nguo inayoonekana ni ndefu lakini alihakikisha havai kanguo kadogo na watu wengine wapate salam, kaanika utupu wake hadharani, hana chembe ya aibu wala woga.


Dada zetu mwatupeleka wapi, ni nini mwataka hasa?

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...